Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anzisheni viwanda tusiendelee kuwa wachuuzi-Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA WEKEZENI KWENYE VIWANDA - PINDA

WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.
Ametoa wito huo jana jioni (Jumatano, Mei 6, 2015) baada ya kutembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania pamoja na wafanyabiashara kadhaa,...

 

9 years ago

StarTV

Pinda azihimizwa Nchi wanachama wa SADC kukuza viwanda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC haina budi kuweka mkakati utakaohakikisha nchi wanachama zinakuwa na mpango mahususi wa kuendeleza viwanda kama ambavyo imekubaliwa kwenye kikao chao kilichomalizika jana.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mkutano wa 35 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jijini Gaborone, Botswana.

 

SADC kupitia sekretarieti yake itabidi...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA

Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA: Bagamoyo kuwa jiji la viwanda, biashara

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu ya Uwekezaji (EPZA) imesema mradi wa uendelezaji wa maeneo maalumu ya uwekezaji katika mji wa Bagamoyo ukikamilika utasaidia mji huo kuwa jiji kubwa la viwanda na...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania tusiendelee kupapasa gizani mwaka 2015

Karibu mwaka 2015! Mwaka wa heri na matumaini makubwa kwa Watanzania hususan wenye kipato cha chini.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachuuzi watelekeza soko Gonja

Wachuuzi na wafanyabiashara wa mazao ya chakula katika soko la Gonja-Maore, lililopo Kata ya Maore wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, wamelitelekeza soko la kisasa lililojengwa kwa Sh80 milioni kwa kile kilichodaiwa kukosekana kwa miundombinu muhimu.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wajasiriamali anzisheni ushirika wenu’

Wajasiriamali wametakiwa kuanzisha ushirika wa kuuza bidhaa zao kwa wingi kwa wawekezaji na kujiingizia vipato.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Anzisheni vikundi vya maendeleo’

JAMII imetakiwa kuanzisha vikundi vya maendeleo ili kushirikiana na kusaidia shughuli za kiuchumi katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Ofisa Tarafa wa Magomeni, Flugens...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO


Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael

……………………………………………………………………………………..

Na. Edward Kondela

Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani