Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wajasiriamali anzisheni ushirika wenu’

Wajasiriamali wametakiwa kuanzisha ushirika wa kuuza bidhaa zao kwa wingi kwa wawekezaji na kujiingizia vipato.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Anzisheni vikundi vya maendeleo’

JAMII imetakiwa kuanzisha vikundi vya maendeleo ili kushirikiana na kusaidia shughuli za kiuchumi katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Ofisa Tarafa wa Magomeni, Flugens...

 

10 years ago

Habarileo

Anzisheni viwanda tusiendelee kuwa wachuuzi-Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: Anzisheni vituo vya msaada wa sheria

Serikali imetoa wito kwa watu wenye uwezo kuanzisha vituo vya kutolea msaada wa kisheria kwani mahitaji yake bado ni makubwa hapa nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar

Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).

2

Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.

Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM

 Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF) Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiliamali shamimu mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo jokate mwegelo. Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF)kushoto Hadji...

 

11 years ago

Mwananchi

Zambi ahimiza ushirika

 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amewataka wakulima nchini kuanzisha vyama vya ushirika ili waweze kukopesheka kwa urahisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK: Hatulipi madeni ya ushirika

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali yake haitalipa madeni ambayo baadhi ya vyama vya ushirika nchini vinadaiwa na mabenki hadi kwanza wezi walioyasababisha wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria....

 

5 years ago

Michuzi

DC TUNDURU AUFUNDA USHIRIKA

Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Ndg. Julius Mtatiro, amevitaka vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo kuzingatia taratibu na sheria katika utendaji kazi wao na kuacha kufanya kazi kwa kwa mazoea.

Ndugu Mtatiro ametoa rai hiyo leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku ya tatu ya vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo yaliyoandaliwa na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Shirika la Ukaguzi na usimamizi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani