Wachuuzi Soko la Ilala watwangana ngumi
WANACHAMA wa Chama cha Wachuuzi wa Mizigo Soko la Ilala, jijini Dar es Salaam, wamepigana katika mkutano wao baada ya Mwenyekiti wa chama hicho, Edwin Lukalambega, kushindwa kujibu hoja za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wachuuzi watelekeza soko Gonja
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Wagombea ubunge watwangana ngumi
KAMPENI za wagombea ubunge 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaojinadi kwa wanachama kabla ya upigaji wa kura ya maoni katika Jimbo la Arusha Mjini, juzi ziliingia dosari baada ya wagombea wawili kutwangana makonde wakati wa kikao cha majumuisho.
Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Arusha saa 11:30 jioni wakati wagombea hao walipokaa na viongozi wa chama wilaya.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilizolifikia Raia Tanzania na kuthibitishwa na...
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Vyumba vya kupimia nguo kabla ya kununuliwa katika soko la Mchikichini — Ilala jijini Dar vilitumika kudhalilisha wanawake
Wawezeshaji wa Sheria katika soko la Mchikichini katika Manispaa ya Ilala, wakiwa na mabango ya mradi wa Mpe Riziki si Matusi baada ya kuzungumza na waaandishi wa habari Dar es Salaam jana wanaotembelea masoko yaliyopo katika Manispaa hiyo kuona maendeleo ya vita ya kupinga udhalilishaji wa kijinsia katika masoko hayo baada ya Shirika la Equality for Growth linaloendesha mradi huo kutoa mafunzo kwa Wawezeshaji wa Sheria wanaoshirikiana na wafanyabiashara katika vita hivyo.
9 years ago
MichuziVYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM VILITUMIKA KUDHALILISHA WANAWAKE
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wafanyabiashara wakubwa msiwe wachuuzi - TIC