MAABARA BUBU BADO ZAENDELEA KUWEPO JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOA9zDvbDRnDrFNNsPolfsIFZ4cF5Ns8U0gFI337ID4ozEMfGvZekSwaLtrZ7NjngF1XWBojwVqETyqlFDMBj0ej/maabarabubu.jpg?width=550)
Hii ni moja ya maabara bubu ikiwa haina jina jambo ambalo linatia shaka juu ya huduma inayotolewa ndani yale. Ndoo iliyopo pembeni huwekewa pamba na uchafu mwingine utokao ndani ya maabara hiyo. Hiki ni choo ambacho wagonjwa wanaofika kupima afya zao huingia kwa vipimo kama vile choo kidogo na kikubwa. Kamera yetu leo hii imeinasa moja ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
OPERESHENI GEREJI BUBU YAENDESHWA KINONDONI JIJINI DAR
11 years ago
GPLKERO ZA FOLENI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ZAENDELEA KUTESA
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Mwananchi07 Nov
Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar
9 years ago
GPLMAABARA YA KISASA YA TFDA YAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Rais Kikiwete azindua Sera ya Elimu,Afungua maabara Shule ya Sekondari ya kata,Kipawa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiEybF_-O7A/VN4Kn1pkFOI/AAAAAAAHDjU/UDOlZZo9uJg/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iy654veaghI/VN4KpLireaI/AAAAAAAHDjc/K-NCtVfAN1s/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Agizo la kukabidhi vyumba vya maabara kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida bado kutekelezwa
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari kata ya Ikungi wilayani Ikungi mkoa wa Singida,wakishiriki ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara jana kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, aliagiza akabidhiwe vyumba vitatu vya maabara kwa kila shule ya sekondari 153 za kata za mkoa huo kabla ya oktoba 15 mwaka huu.Mambo yamekuwa tofauti kwa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi ambayo hadi sasa bado ujenzi upo ngazi ya msingi.(Picha na Nathaniel Limu).
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-W4mU6GipYDg/UxCxJcINMII/AAAAAAAATDQ/I2GXMHVWZm4/s1600/Sarfrenje3906.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI LA DAR: JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?
10 years ago
Habarileo02 Dec
Dar yatekeleza agizo la maabara za JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.