Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAABARA BUBU BADO ZAENDELEA KUWEPO JIJINI DAR

Hii ni moja ya maabara bubu ikiwa haina jina jambo ambalo linatia shaka juu ya huduma inayotolewa ndani yale. Ndoo iliyopo pembeni huwekewa pamba na uchafu mwingine utokao ndani ya maabara hiyo. Hiki ni choo ambacho wagonjwa wanaofika kupima afya zao huingia kwa vipimo kama vile choo kidogo na kikubwa. Kamera yetu leo hii imeinasa moja ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OPERESHENI GEREJI BUBU YAENDESHWA KINONDONI JIJINI DAR

Operesheni ya gereji bubu katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar inaendelea kwa sasa ili kusafisha maeneo katika wilaya hiyo.Operesheni hiyo ilianza tangu Februari 25 mwaka huu na inaendelea kwa mwaka…

 

11 years ago

GPL

KERO ZA FOLENI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ZAENDELEA KUTESA

    Gari jekundu (kushoto) lililoharibikia njiani na kusababisha foleni eneo la Darajani-Kibamba maarufu kama Kwa Mangi.   Lori hili lililoharibikia njiani lilileta majanga maeneo ya Kimara na kusababisha msongamano.…

 

10 years ago

Mwananchi

Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar

>Ujenzi wa maabara 78 za masomo ya sayansi kwa shule za sekondari za kata jijini Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika Novemba 30, mwaka huu.

 

9 years ago

GPL

MAABARA YA KISASA YA TFDA YAZINDULIWA JIJINI DAR

Mkuu wa Maabara ya Mikrobilojia wa  Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini, Dkt. Adelard Mtenga akitoa maelekezo ya vifaa vya maabara. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini, Hiiti Sillo akikata utepe kufungua mtambo huo. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Msaada kutoka Marekani, Kelly Hamblin. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikiwete azindua Sera ya Elimu,Afungua maabara Shule ya Sekondari ya kata,Kipawa jijini Dar

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 katika hafla iliyofanyika katika shule ya sekondari Majani ya Chai, Kipawa jijini Dar es Salaam leo.Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Said Meck Sadik. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa elimu na ufundi Kassim Majaliwa wakiangalia jaribio la Sayansi lililokuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Agizo la kukabidhi vyumba vya maabara kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida bado kutekelezwa

DSC01906

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari kata ya Ikungi wilayani Ikungi mkoa wa Singida,wakishiriki ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara jana kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, aliagiza akabidhiwe vyumba vitatu vya maabara kwa kila shule ya sekondari 153 za kata za mkoa huo kabla ya oktoba 15 mwaka huu.Mambo yamekuwa tofauti kwa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi ambayo hadi sasa bado ujenzi upo ngazi ya msingi.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC01907

DSC01910

 

11 years ago

GPL

HALMASHAURI YA JIJI LA DAR: JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?‏

Hili ni eneo la Kituo cha Daladala cha  Ubungo jijini Dar, biashara ndogondogo zikiwemo za viatu zinafanyika wakati huo huo waenda kwa miguu nao wakipita eneo hilohiolo. ..... wengine wanauza samaki katika eneo ambalo kiafya si sahihi.…

 

10 years ago

Habarileo

Dar yatekeleza agizo la maabara za JK

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani