MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA UELIMISHAJI UMMA KUHUSU UALBINO
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Dkt. Kevin Mandopi akizungumza na wadau mbalimbali wa masuala ya haki za binadamu katika mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uelimishaji Umma Kuhusu Ualbino uliofanyika kwenye ofisi za Tume hiyo leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Bibi. Neema Ringo na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bibi. Nkasori Sarakikya.
Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJK MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA WATU WENYE UALBINO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iFZcrmAoqtI/XuN-XZ9fSCI/AAAAAAALtls/-AwVXnj92FM0T4Tei3zcKUhLnH2l9mtVQCLcBGAsYHQ/s72-c/jpm.png)
UJUMBE WA SADC KUELEKEA SIKU YA UELEWA KUHUSU UALBINO DUNIANI
JUMUIYA ya Maendeleo kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imeungana na wanajamii kote duniani katika maadhimisho ya siku ya uelewa kuhus watu wanaoishi na ualbino inayoadhimishwa kila Juni 13 na hiyo ni kufuatia maazimio ya mkutano mkuu wa 69 wa umoja wa mataifa ambao iliazimiwa ushiriki wa kila nchi mwanachama katika kulinda na kuhifadhi haki za watu wenye ualbino katika maisha, utu, ulinzi na nchi wanachama walishauriwa kutumia siku hiyo kwa kujenga uelewa kwa...
9 years ago
MichuziBALOZI MULAMULA AONGOZA MAADHIMISHO SIKU YA KIMATAIFA YA AMANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2uJzhbHdqIQ/XtpRAqK0flI/AAAAAAALsu0/MWdZorZkanIW0LpiFJLIX42hiku0oTriACLcBGAsYHQ/s72-c/download-3.jpg)
TAMKO LA TUME KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-2uJzhbHdqIQ/XtpRAqK0flI/AAAAAAALsu0/MWdZorZkanIW0LpiFJLIX42hiku0oTriACLcBGAsYHQ/s1600/download-3.jpg)
Kama Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Kitaifa Mwaka huu inavyosema Tuhifadhi Mazingira: Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, hivyo, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nayo kupitia Maadhimisho haya inapenda kuwakumbusha Wananchi wajibu wao wa kutunza na kuhifadhi mazingira kwa sababu ustawi wa viumbe hai akiwemo...
5 years ago
MichuziTAARIFA KUHUSU MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AR5FJIcljs/XqQWQ3DdMdI/AAAAAAALoLA/rN3hCd7BOOYynJgcjfl4sZOT1op6EVAHwCLcBGAsYHQ/s640/6cd902f4-cead-4d7e-b260-f749c6bcd127.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AeqhcEBC8Rk/XqQWPE9bJKI/AAAAAAALoK8/K-0U8m5xziU5i7l1PoOrDhy02T_PlbUcgCLcBGAsYHQ/s640/c2c664df-49cd-4e30-bdc0-3a028f532674.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, yafana MOI
Meneja Ustawi wa Jamii na Mahusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Jumaa Almasi akizungumza kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dk, Othman Kiloloma wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, aliomba kuitumia siku hiyo kwa kusheherekea siku hiyo adhim amabayo nisiku maalum kwa sababu vijana wetu ambao tunawaongelea leo hi kwetu sisi ni wagonjwa kwa maana yakwamba Tiba yao yote kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s72-c/DSC_0408.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote. Maadhimisho haya yalifanyika katika Hoteli ya Double Tree, Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s1600/DSC_0408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CB9c1GUQw-o/VDq95LqUyvI/AAAAAAAAEJk/qxbBtvnfIiA/s1600/DSC_0402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Rz1LUcs3g/VDq92TKnICI/AAAAAAAAEJc/jYBkEu6vvpk/s1600/DSC_0394.jpg)
10 years ago
MichuziUN Tanzania Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Wahanga wa Maangamizi Makuu ya Moto dhidi ya Wayahudi Jijini Dar leo