TAMKO LA TUME KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-2uJzhbHdqIQ/XtpRAqK0flI/AAAAAAALsu0/MWdZorZkanIW0LpiFJLIX42hiku0oTriACLcBGAsYHQ/s72-c/download-3.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) inaungana na Watanzania wote katika kuadhimisha Siku ya Mazingira duniani ambayo kilele chake ni Juni 5, 2020.
Kama Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Kitaifa Mwaka huu inavyosema Tuhifadhi Mazingira: Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, hivyo, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nayo kupitia Maadhimisho haya inapenda kuwakumbusha Wananchi wajibu wao wa kutunza na kuhifadhi mazingira kwa sababu ustawi wa viumbe hai akiwemo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sZldSjBJXbE/XmXDm7V2iRI/AAAAAAALiJE/Z2_Ba_eJGnQ6dzGwuSHdxmK81xryoJUWACLcBGAsYHQ/s72-c/download-1.jpg)
Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Machi 8 , 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-sZldSjBJXbE/XmXDm7V2iRI/AAAAAAALiJE/Z2_Ba_eJGnQ6dzGwuSHdxmK81xryoJUWACLcBGAsYHQ/s400/download-1.jpg)
Tume inatambua...
5 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI ZUNGU KUHUSU SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
TAMKO LA MHE. MUSSA AZZAN ZUNGU (MB.), WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO NA MAZINGIRA JUU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
Ndugu Wananchi,Kila tarehe 5 Juni, nchi yetu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s1600/unnamed+(10).jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Tamko la Tume ya Haki za Binadamu kuhusu uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.
Tamko La Tume Ya Haki Za Binadamu Kuhusu Uchaguzi Huru
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAMKO LA TUME KUHUSU HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Kusikitishwa na taarifa ya vitendo vya baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala kuwanyanyapaa na kuwasumbua Wagonjwa
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na taarifa ya vitendo vinavyofanywa na baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala vya kuwanyanyapaa na kuwasumbua wagonjwa wanaoenda kupata matibabu kwa kuwataka wagonjwa hao kwenda kufanya vipimo vya Korona kabla ya kuanza kupata matibabu.
Tume...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015