MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA
Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Prof. Adolf Mkenda akihutubia wadau mbalimbali wa takwimu katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora kwa Maisha Bora”.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo ya utangulizi katika katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-coo8fizGrms/VHc5uFEMqvI/AAAAAAAGzz0/QEwvexxv_gU/s1600/Takwimu-%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6D8aePq462U/VlN65cleiRI/AAAAAAAIIFw/7PhZ6nrLVTE/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-6D8aePq462U/VlN65cleiRI/AAAAAAAIIFw/7PhZ6nrLVTE/s640/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nUnoMrcUOUg/VlN65Xzqs-I/AAAAAAAIIF0/a-vMkmN5R7I/s640/PICHA%2BNAMBA%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4R5Mrg_og0I/VHXTLVhvnQI/AAAAAAACvX4/fNBj_Av4mEI/s1600/PICHA%2BNAMBA%2B2%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONRbw53B-FY/VHXTMnEPgSI/AAAAAAACvYE/4BuOahB_1F8/s1600/PICHA%2BNO.%2B1%2B-%2BSIKU%2BYA%2BTAKWIMU%2BAFRIKA.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DVZacjEUZnI/VHcbWMqMXDI/AAAAAAACTf8/mykQzk2WqJw/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NBDEX_QDOBM/VHcbf0BxbxI/AAAAAAACTgU/_YUzxBQmKPg/s640/Takwimu%2B-3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yL0rTbWDqLc/VHcbcCgXeXI/AAAAAAACTgM/lo5nyLcx3cg/s640/Takwimu-%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yafana
Wanafunzi wa Stashada wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika wakiwa wameshikilia bendera za nchi wanachama wanaoshikiana na nchi ya Tanzania kuendesha chuo hicho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yaliyofanyika jana katika Chuo hicho kilichopo jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Takwimu Bora, Maisha Bora”.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (hayupo pichani) wakati akihutubia kwenye...
10 years ago
MichuziMaadhimisho ya SIKU YA AFRIKA yafanyika Washington DC
HABARI ZAIDI...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Rais Kikwete afungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bella Bird (wa kwanza kulia).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani)...
10 years ago
Michuzi13 Nov