Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA MAADHIMISHO YA SIKU YA VIWANDA AFRIKA 2014


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Press

MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA

PICHA NAMBA 1

Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha,  Prof. Adolf Mkenda akihutubia wadau mbalimbali wa takwimu katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora kwa Maisha Bora”.

 PICHA NAMBA 2

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo ya utangulizi katika katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya SIKU YA AFRIKA yafanyika Washington DC

Balozi wa Misri nchini Marekani Mhe. Mohamed Tawfik akiongea kufungua sherehe ya African Union iliyofanyika siku ya Alhamisi May 28, 2015 katika hotel ya JW Marriott, Washington DCBalozi wa Morocco nchini Marekani Mhe. Rashad Bouhlal akiongea machahce.Msemaji mkuu wa sherehe ya siku ya Afrika Mhe. Donald Tetelbaum.Mchungaji Jesse Jackson akiongea kwenye sherehe ya siku ya Afrika.Mambalozi wa Afrika nchini Marekani wakiwa katika picha ya pamojaWageni waalikwa wakifuatilia hotuba.
HABARI ZAIDI...

 

10 years ago

GPL

UFUNGUZI WA MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI OKTOBA 9-2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Mkoma, akizungumza katika mkutano huo.  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,  Sayansi na Teknolojia, Profesa Patrick Makungu akihutubia katika uzinduzi huo.…

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA UTALII 2014 KUFANYIKA JIJINI ARUSHA

Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha pamoja na Wadau wa Sekta ya Utalii nchini wanayofuraha ya kuwakaribisha Wananchi wote na Wadau mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani kwa mwaka 2014 ambayo Kitaifa yatafanyika Mkoani Arusha kwenye viwanja vya Nane Nane (TASO) kuanzia tarehe 20 hadi 28 Septemba, 2014.
Siku ya Utalii Duniani huadhimishwa tarehe 27 Septemba ya kila mwaka ambapo kila nchi mwanachama wa Shirika la Utalii...

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Prof. Adolf Mkenda akihutubia wadau mbalimbali wa takwimu katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya "Takwimu Bora kwa Maisha Bora".Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo ya utangulizi katika katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya "Takwimu Bora kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani Tarehe 23 Machi, 2014

 Kila mwaka tarehe 23 Machi nchi wanachama wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani hujiunga na kuadhimisha kuzaliwa kwa Shirika hilo lililoanzishwa tarehe 23 Machi, 1950 kulingana na kauli mbiu.  Kauli mbiu ya mwaka huu ni ’Ushirikishwaji wa Vijana katika Masuala ya Hali ya Hewa’- ”(Weather and Climate: Engaging Youth)”. Katika kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani (WMO), Shirika la Hali ya Hewa linawahamasisha vijana ulimwenguni kote kujihusisha na masuala ya hali ya hewa, ili kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani