MAADILI: Polisi kuwasaka wacheza ngoma ya ‘kigodoro’
>Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanzishwa kwa operesheni maalumu ya kuwasaka wasanii wa ngoma wanaocheza wakiwa uchi maarufu kama kigodoro na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Polisi kuwasaka wanaojiuza
10 years ago
Michuzi
Sekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu
Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...
11 years ago
Habarileo09 Jan
IGP- Polisi zingatieni maadili
MAOFISA na askari Polisi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi zao ili wawezeshe kutoa huduma bora na kuwezesha mapambano ya uhalifu kufanikiwa.
10 years ago
Habarileo11 Sep
Polisi wataka vyama kuheshimu maadili
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Omar Hamdani amewataka viongozi wa vyama vya siasa, kuheshimu maadili na kuzingatia sheria za uchaguzi ili kulinda amani na utulivu.
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Kesi ya mauaji Polisi Moshi ngoma nzito
UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayowakabili raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja wanaotuhumiwa kumuua askari wa Jeshi la Polisi, Ex. PC Michael Milanzi, aliyeuawa kwa kupigwa risasi...
5 years ago
Michuzi
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma


11 years ago
Michuzi
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
11 years ago
Habarileo27 May
Kigodoro, kangamoko marufuku
NGOMA za kigodoro, kangamoko na nyingine ambazo huchezwa usiku katika maeneo kadhaa jijini Dar es Salaam, zimepigwa marufuku na polisi kwa kile kilichoelezwa zimegeuzwa kuwa sehemu ya uhalifu.