Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi kuwasaka wanaojiuza

Polisi mkoani hapa wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu kwa biashara hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAADILI: Polisi kuwasaka wacheza ngoma ya ‘kigodoro’

>Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanzishwa kwa operesheni maalumu ya kuwasaka wasanii wa ngoma wanaocheza wakiwa uchi maarufu kama kigodoro na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.

 

10 years ago

Dewji Blog

Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu

DSC03499

Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...

 

10 years ago

GPL

ESTER: MIMI SIYO MBURULA, WANAOJIUZA NI HAOHAO!

Na Imelda Mtema/Ijumaa
Msanii wa filamu anayeonekana kuwa moto, Ester Kiama amefunguka kuwa, wanaodhani ameingia kwenye fani ya uigizaji ili kutafuta wanaume wamebugi kwa kuwa yeye siyo mburula na hajui hata anaanzaanzaje kufanya hivyo. Msanii wa filamu anayeonekana kuwa moto, Ester Kiama. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Ester alisema wakati alipokuwa nje ya fani alikuwa hapati usumbufu lakini sasa ameamua kuonyesha...

 

9 years ago

GPL

RIYAMA KUWASAKA WANAOMTUMIA

Msanii wa filamu Bongo Riyama Ally. MAYASA MARIWATA MSANII wa filamu Bongo Riyama Ally amesema baadhi ya wasanii wanaomhitaji na kucheza nao filamu, huuza baadhi ya vipande vya filamu anazocheza bila idhini yake, jambo alilodai hakubali kwani atawasaka na kuwashikisha adabu. Akizungumza na mwandishi wetu, alisema baadhi ya watu wamekuwa wakitumia kava lenye picha yake kuuza filamu ambazo anakuwa hajacheza, isipokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

JWTZ kuwasaka wanaowapakazia

>Jeshi la Ulinzi la  Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema litafuatilia mitandao ya watu wanaolipaka matope na kuwachukulia hatua kali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani Kuwasaka Wauaji wa Forley

Ingawa waislam wenye msimamo mkali wametoa mkwara kwa Marekani endapo itazisha mashambulizi dhidi yao! basi watarajie msiba mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS kuwasaka waingizaji wa nguo za ndani

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) litafanya operesheni ya kuwasaka wale wote wanaoingiza nguo za ndani za mitumba nchini. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ofisa Mahusiano wa TBS, Roida Andusamile,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu,  wilayani Mpanda  kuhakikisha watoto wao  walioacha shule na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge aitaka serikali iongeze kasi kuwasaka wauaji wa albino.

Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymaa Kwegyir (pichani), ameapa kufa akipambana kuwatetea watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kuiomba serikali kuongeza kasi ya kuwasaka na kuwafikisha mahakamani watu wanaojihusisha na vitendo vya utekaji na mauaji hayo.

Alitoa ahadi hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kazi za Jamii iliyofanyika katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Profesa Hubert Hairuki (HKMU) jijini Dar es Salaam jana.

Alisema ipo haja ya kuweka sheria kali hata ikibidi wauaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani