Maafa makubwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-TSj64fFNx6s/U9nfD8YTwLI/AAAAAAAABbw/kn22wMr2S8c/s72-c/AJALI+1.jpg)
Ajali basi na lori yaua 17, yajeruhi 56Waliokufa, waliojeruhiwa watambuliwa DC Kangoye aongoza shughuli ya ukoaji
Na Waandishi Wetu
WAKATI Waislamu wakiendelea kusherehekea Sikukuu ya Idd elFitri, vilio na simanzi vimetawala eneo la Pandambili wilayani Kongwa, Dodoma, kutokana na ajali mbaya iliyosababisha watu 17 kupoteza maisha.
Mbali na vifo hivyo, ajali hiyo iliyohusisha basi la Kampuni ya Moro Best na lori lililokuwa limebeba mabomba, pia imejeruhi watu wengine 56. Katika ajali hiyo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita vya Jihadi vyasababisha maafa makubwa
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Mvua zaleta maafa makubwa Dar, mikoani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU IDARA YA MAAFA --YATOA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...
9 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...