MAAJANU YA AKIDI BUNGE MAALUMU LA LATIBA
UKIACHILIA MBALI, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia ukataji viuno uliofanywa na wabunge, ukiacha na kejeli, vijembe, ukiangalia na kukumbatiana kwao, bila kujali kauli ya “tumepitisha liwalo na liwe”, akidi ya Bunge Maalumu la Katiba imeacha maswali mengi ya ajabu.
Ajabu ya kwanza, idadi iliyotajwa kabla ya kupiga kura, na idadi iliyotajwa baada ya kupiga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Maajabu ya akidi Bunge Maalumu la Katiba
UKIACHILIA mbali, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia...
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Akidi yakwamisha Bunge la Eala
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Bunge Maalumu giza nene
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Bunge Maalumu lilivyowavuruga Wanahabari
11 years ago
Habarileo12 Mar
Kanuni Bunge Maalumu zapita
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?
RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...