Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAJANU YA AKIDI BUNGE MAALUMU LA LATIBA

UKIACHILIA MBALI, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia ukataji viuno uliofanywa na wabunge, ukiacha na kejeli, vijembe, ukiangalia na kukumbatiana kwao, bila kujali kauli ya “tumepitisha liwalo na liwe”, akidi ya Bunge Maalumu la Katiba imeacha maswali mengi ya ajabu.
Ajabu ya kwanza, idadi iliyotajwa kabla ya kupiga kura, na idadi iliyotajwa baada ya kupiga...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Maajabu ya akidi Bunge Maalumu la Katiba

UKIACHILIA mbali, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia...

 

10 years ago

Mwananchi

Akidi yakwamisha Bunge la Eala

Kutotimia kwa akidi ya wabunge wa Rwanda kulisimamisha kwa dakika 15 kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (Eala) kilichoanza jana jijini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu vuluvulu

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), kuna taarifa kwamba huenda Oktoba 4, mwaka huu ikawa siku ya mwisho ya kukutana kwa Bunge Maalumu, linaloendelea na utunzi wa Katiba Mpya mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu

>Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zilizoanza vikao vyake juzi mjini Dodoma, zimejikuta zikifanya kazi kwa kulipua kutokana na uchache wa muda uliotengwa, ikilinganishwa na ukubwa wa kazi ya uchambuzi wa ibara za rasimu ya Katiba hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu giza nene

Kadiri siku zinavyosogea kitendawili kuhusu hatima ya Bunge Maalumu kimeendelea kuwa kigumu na sasa kinachosubiriwa ni matokeo ya mkutano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu lilivyowavuruga Wanahabari

Bunge Maalumu la Katiba linaeelekea ukingoni.Yapo mambo mengi yaliyofanywa kuhusu Mchakato wa Katiba ndani na nje ya Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Kanuni Bunge Maalumu zapita

HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba, limepitisha rasimu ya Kanuni zitakazotumika kuongoza majadiliano, pamoja na vifungu ambavyo havikutaja aina ya upigaji kura kama utakuwa wa wazi au wa siri. Hata hivyo, wakati Bunge likipitisha azimio hilo, baadhi ya wajumbe wamelaani kitendo cha Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu, Pandu Ameir Kificho, kuridhia kupitishwa kwa ‘kanuni nusu’ za Bunge kwa maelezo kuwa jambo hilo halitaleta muafaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?

RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani