Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAALIM HAMAD ATEMBELEA OFISI ZA AZAM TV

Hamad akizungumza na wafanyakazi wa Azam TV.
Wafanyakazi wa Azam TV wakimsikiliza Hamad. Wafanyakazi wa Azam TV baada ya mazungumzo wakipata picha ya pamoja na Hamad.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.

Na Hassan Hamad wa OMKR. Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.  Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewakumbusha wagonjwa na wafiwa kuwa na subra na uvumilivu, wakielewa kuwa hiyo ni mitihani ya Mwenyezi Mungu. Akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa na wafiwa katika Wilaya ya Mkoani, Maalim Seif amesema maradhi ni jumla ya mitihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na kwamba wanaopatwa na mitihani hiyo hawana budi kushuru na kuomba dua. Maalim Seif ambaye yuko kisiwani Pemba kwa ziara ya siku sita ya kuangalia wagonjwa,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF ATEMBELEA AZAM TV

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa (Azam TV) Bw. Tido Muhando, alipowasili kwa ajili kutembelea kituo hicho cha Televisheni.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na baadhi ya watendaji wa (Azam TV) alipowasili kwa ajili kutembelea kituo hicho cha Televisheni.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea studio za (Azam TV) jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad, atembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar jana usiku, kuangalia hali ya upatikanaji wa bidhaa hizo katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid- El-Fitri. Picha zote na Salmin Said, OMKRMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif akutana na rais wa taasisi ya Kimataifa ya Global Peace Foundation, atembelea ofisi za CUF zilizochomwa moto Dimani

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema Zanzibar inaunga mkono juhudi zinazochukuliwa na taasisi ya Kimataifa ya Global Peace Foundation katika kuhimiza amani na utulivu Duniani. Maalim Seif amesema hayo leo wakati alipokuwa na mazungumzo na ujumbe kutoka jumuiya hiyo, ulioongozwa na Rais wake, James Flynn huko ofisini kwake Migomnani mjini Zanzibar. Amesema Dunia inakabiliwa na matukio mengi yanayo hatarisha amani na utulivu, hivyo mchango wa jumuiya hiyo...

 

10 years ago

GPL

HAMAD, MAALIM SEIF KUMEKUCHA

Stori: Mwandishi wetu
VITA ya mahasimu wawili wa kisiasa kutoka CUF Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed, inaonekana bado mbichi baada ya mjumbe huyo wa Bunge Maalum la Katiba kumlipua bosi wake hadharani. Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. Jumatatu iliyopita akiwa bungeni, Hamad aliyefukuzwa uanachama wa CUF miaka michache iliyopita,...

 

9 years ago

IPPmedia

Maalim Seif Sharif Hamad


IPPmedia
Maalim Seif Sharif Hamad
IPPmedia
Civic United Front (CUF) General Secretary and Zanzibar presidential candidate, Maalim Seif Sharif Hamad, has issued a three-day ultimatum to the Zanzibar government to proceed with the release of election results or let Zanzibaris decide their fate.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS DKT.MARY NAGU ATEMBELEA OFISI ZA TASAF

 Waziri wan chi ofisi ya Rais mahusiano na uratibu Dokta Mary Nagu (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na menejimenti ya TASAF kushoto kwake ni mkurugenzi mtendaji wa TASAF Ladislau Mwamanga (mwenye suti  nyeusi). Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga akimtembeza Waziri wan chi Ofisi ya Rais Dokta Mary Nagu katika jingo linalotumiwa kuhifadhi kumbukumbu za walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini.  Waziri wa nchi ofisi ya Rais Dokta Mary Nagu akizungumza na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar

Maalim Seif Sharifu Hamad ambaye kwa sasa ni Makamu wa Kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzibar anagombea urais wa Zanzibar

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani