Maalim vs Seif CCM sita
Wakati jitihada za kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa Zanzibar zikiendelea, vikao vinavyoendelea baina ya CCM na CUF havina uwiano wa uwakilishi; makada sita wa CCM dhidi ya Maalim Seif Sharrif Hamad.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iHCoeaZJprM/VZ165IfJgyI/AAAAAAAHn2s/wqmmeZ_eWZo/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
MAALIM SEIF AITEMBELEA FAMILIA YA WATOTO SITA WENYE ULEMAVU, PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo ameitembelea na kuifariji familia ya Bw. Saleh Juma Saleh yenye watoto sita wenye ulemavu.
Akizungumza na familia hiyo nyumbani kwao Kinyasini Mkarafuuni Wilaya ya Wete Pemba, katika mfululizo wa ziara yake ya kutembelea wagonjwa katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Maalim Seif ameitaka kuwa na subra na upendo kwa watoto hao wakielewa kuwa huo ni mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Amemuagiza Mkuu Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ruefZgGO-Us/VZ09SInOhfI/AAAAAAAB00E/kplSpv-_Zjw/s72-c/F1.jpg)
MAALIM SEIF AKAGUA FAMILIA YENYE WATOTO SITA WENYE ULEMAVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ruefZgGO-Us/VZ09SInOhfI/AAAAAAAB00E/kplSpv-_Zjw/s640/F1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ayw2fJP44qs/VZ097klW7VI/AAAAAAAB00U/BeTPZOwDZ7Y/s640/11112213_1497350040556486_3469616484251929814_o.jpg)
Na:...
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
CCM Zanzibar yamshukia Maalim Seif
NA ANTAR SANGALI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina ubia wa sera na CUF katika uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed Sheni.
Msimamo huo wa CCM, imetokana na kauli ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, kudai hivyo, wakati akihojiwa na kituo kimoja cha luninga, hivi karibuni.
Msimamo huo ulitolewa jana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Itikadi na Uenezi (Zanzibar), Waride Bakari Jabu, wakati akizungumza na...
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Maalim Seif: CCM hawana pakutokea Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwaka huu na CCM hakitakuwa na sehemu ya kutokea.
Maalim Seif aliyasema hayo jana muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar ikiwa ni mara yake ya tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi.
Akiwa amesindikizwa na mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Maalim Seif: CCM ijiandae kisaikolojia kukabidhi Z’bar
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Maalim Seif: Siwezi kamwe kurudi CCM hii ya sasa
10 years ago
Vijimambo26 Jun
CCM wamkataa Maalim Seif barazani, Ni kulipiza CUF kususia Baraza.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maalim-26June2015.jpg)
Mgogoro wa kisiasa Zanzibar umeingia katika hatua nyingine baada ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukataa hoja ya Spika wa baraza hilo ya kumwalika Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, kuhudhuria kuvunjwa kwa baraza hilo leo.
Hali hiyo inaashiria kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaiaf (SUK) iliyoundwa na Chama cha Wananchi (CUF) na CCM baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s72-c/vuai.jpg)
CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA MITANDAONI KWAMBA IMEKUBALI KUMKABIDHI MAALIM SEIF IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s640/vuai.jpg)
Akikanusha Taarifa hiyo mbele ya Waandishi wa Habari Afisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai amesema taarifa hiyo ni uzushi uliotungwa ili kuwatia taharuki WanaCCM na Wananchi kwa Ujumla.
Amesema toka kusambaa kwa Taarifa hiyo Jana amekuwa akipigiwa...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif