Maambukizi nyufa za vifupa vya pua
Sinusitis ni jina la kitaalamu la ugonjwa wa maambukizo ya nyufa zilizopo kwenye nafasi ya hewa au mifereji ya mifupa ya uso iliyo karibu na uso.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya
Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiG3KPXe7BRvihz6RfqutjOwnOj9wNVsL8XVvPS4cSd9K0Ov7q2tgmIGwGKrqZhu5jEMwhmhgMKh4yTeBsr*Wi9t/tumbowanawake.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-3
Wiki hii nitazungumzia matibabu na ushauri kuhusiana na tatizo hili. Matibabu mazuri hutegemea na uchunguzi makini wa awali, tatizo likiwa changa na kabla mwanamke hajaanza kutumia dawa mara kwa mara kwa tatizo hilo, hivyo basi, kwa umakini wa tiba unashauriwa uwaone madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama katika hospitali za mikoa ingawa uchunguzi na tiba za awali unaweza kupata katika vituo vya afya na hospitali za wilaya....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacpxgOTyhFJJ7fnF67*qE7qZAj2hLsV6NZPn3q8B8T39RM*Ji4Mj9z3F92Uaz8s-WB8Ly0fKNCoU9wuHGrbK7RW/tumbowanawake.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI VYA MWANAMKE-2
Wiki hii nitaendelea na makala haya niliyoanza wiki iliyopita. Kuwa na mpenzi mpya na kufanya naye ngono bila ya kumfahamu vizuri tena bila kutumia kondom, pia ni chanzo kikubwa cha kupata madhara haya. Kuanza ngono katika umri mdogo kati ya miaka kumi hadi 19 ni mojawapo ya chanzo cha tatizo. Ni vizuri msichana usubiri hadi wakati wako ufike, kuanza ngono katika umri mdogo pia ni chanzo kikuu cha kupata kansa au saratani ya...
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'
Kusukuma maji ya choo cha ndani kunaweza kusababisha wingu ambalo la sprey ambalo linaweza kuvutwa kwa pua na linaweza kusambaza maambukizi, kama vile virusi vya corona, wanasema watafiti.
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka
NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuus5HR3LG7xkw0-fHdZufqd60uXhaHRD6n3JUqZF8oF10g5RRwrCEU*IKoBK1KzNCEtsgNZlwTwLoTyidZOkTiO/nyerere.jpg?width=650)
NYUFA ZA TAIFA ZINAZIDI KUONGEZEKA; NI HATARI!
Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere Eric Shigongo
Mungu ni mwema sana hivyo wote tuseme; ahimidiwe daima.
Mara kwa mara nimekuwa nikiwaambia wananchi kupitia safu hii kwamba kinachoonekana sasa katika nchi zenye machafuko hazikuanza siku moja. Zilianza hatua kwa hatua na baadaye nje ya nchi hizo walimwengu wakasema nchi fulani ina machafuko. Nchi yetu tayari tumetimiza miaka zaidi ya 50 tangu kupata uhuru. Na tujiulize; je bado...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7gXfkuggyvk-Xqb6Lr8wrmp3a-xyJGFLNInobHgIEstRndn51zWiaJ3hBIFsFXj7caqIZRt23PaQGXJg8qpopJ/Blausen_0732_PIDSites.png?width=650)
ATHARI ZA MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI
Maambukizi kitaalamu huitwa ‘Pelvic Inflammatory Diseases’. Maambukizi haya huwa sugu na huchukua muda mrefu mwanamke kupona endapo atakuwa na tatizo hili.Maambukizi hushambulia kizazi na mirija ya mayai na viungo jirani kama vile kibofu cha mkojo na tumbo. Chanzo cha maambukizi
Maambukizi haya huwapata wanawake walio katika umri wa miaka 15 hadi 25 ambao tunasema wapo katika umri wa kuzaa. Vimelea vya ugonjwa huu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania