Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUFA ZA TAIFA ZINAZIDI KUONGEZEKA; NI HATARI!

Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere Eric Shigongo
Mungu ni mwema sana hivyo wote tuseme; ahimidiwe daima.
Mara kwa mara nimekuwa nikiwaambia wananchi kupitia safu hii kwamba kinachoonekana sasa katika nchi zenye machafuko hazikuanza siku moja. Zilianza hatua kwa hatua na baadaye nje ya nchi hizo walimwengu wakasema nchi fulani ina machafuko. Nchi yetu tayari tumetimiza miaka zaidi ya 50 tangu kupata uhuru. Na tujiulize; je bado...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Collabo za wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi zinazidi kuongezeka, Sasa ni Chameleone (UG) na Patoranking (NG)

Uhusiano wa wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi unazidi kuimarika kwa wasanii wa nchi hizo kuzidi kushirikiana kufanya collabo, na sasa ni zamu ya Jose Chameleone wa Uganda na Patoranking wa Nigeria. Chameleone anatarajia kuachia wimbo mpya ambao kamshirikisha muimbaji huyo wa Reggae-Dancehall, Patoranking ambaye mwaka jana alikuja Tanzania kutumbuiza kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vipodozi hatari vyaligharimu taifa

MKURUGENZI wa Uendeshaji Huduma kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Dk. Sikubwambo Ngendabanka, amesema matumizi ya vipodozi vyenye kemikali ni janga la kitaifa linaloisababishia serikali hasara ya mabilioni fedha...

 

9 years ago

Raia Mwema

Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka

NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji: Ni hatari mikataba ya taifa kuwa siri ya viongozi

Tangu gesi asili ilipogunduliwa maeneo mbalimbali ya nchi ikiwamo Mtwara miaka ya hivi karibuni maswali mengi yameibuka juu ya namna rasilimali hizo zitakavyowanufaisha wananchi hususan kuwatoa katika lindi la umaskini.

 

11 years ago

GPL

MAKONDA; MAKUNDI KATIKA VYAMA NI HATARI KWA TAIFA

MKUU wa Idara ya Hamasa na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapindunzi (UVCCM), Paul Makonda alitembelea chumba cha habari cha Global Publishers Janurai 24 mwaka huu na kuzungumza na wanahabari. Paul Makonda. Ni mengi aliyoyasema mbele ya wanahabari. Leo tunakuletea yale yaliyojiri siku hiyo.
Mara baada ya kukaribishwa na Mhariri wa Habari, Makala na Uratibu wa Global Publishers, Luqman Maloto katika jukwaa ambalo...

 

10 years ago

Mwananchi

Maambukizi nyufa za vifupa vya pua

Sinusitis ni jina la kitaalamu la ugonjwa wa maambukizo ya nyufa zilizopo kwenye nafasi ya hewa au mifereji ya mifupa ya uso iliyo karibu na uso.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siku za viongozi mizigo zinazidi kuhesabika

DHANA ya watawala kudhani kuwa wanaweza kuwaongoza wananchi kwa fikra zao binafsi bila kukidhi matakwa ya sheria za nchi ni moja ya vituko vinavyoashiria kufikia ukomo kwa  viongozi waliobweteka. Kwa...

 

10 years ago

Michuzi

DIAMOND ASEMA WASHINGTON DC ITAKUWA CRAAAAZY DEC 6 -TICKET ZINAZIDI KUYEYUKA NUNUA USIJEJILAUMU

     TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL301-661-6207 *DMK   240-603-7353*LATIFA240-764-9970*JULIA           202-830-8970*ATHUMANI    240-467-7350*HELENA     ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani