Maandalizi ya maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yakamilika Songea
Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika mazoezi ya gwari, karate na halaiki kwenye Uwanja wa Majimaji Mjini Songea, leo wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM yanayofanyika kitaifa kesho Mkoani Ruvuma ambapo mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, kwenye Uwanja wa Maji Maji mjini Songea,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPINDA, MANGULA NA KINANA WAWASILI SONGEA KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s72-c/1.jpg)
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 CCM yaendelea vizuri jijini Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4EApdtwPP5s/UuzgE0x2A-I/AAAAAAAALns/d9dEkJGhOhI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-76BEjwELge4/UuzgN2rlowI/AAAAAAAALn0/UsS-NCZw5IA/s1600/26.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-SyJbqDYcgWo/VM6bxxnZV1I/AAAAAAAHAzA/Fs7pCPEQlXY/s1600/0L7C2212.jpg)
CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FZdGa16gung/VM6g0zmPF5I/AAAAAAAHA1M/m5mX28zU6G8/s72-c/0L7C2343.jpg)
chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZdGa16gung/VM6g0zmPF5I/AAAAAAAHA1M/m5mX28zU6G8/s1600/0L7C2343.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U2VCUAD6meo/VM6hDwTDUvI/AAAAAAAHA1c/_J35IgVpA_o/s1600/0L7C2348.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V6rN7WXzp9A/VM6hjkDVvmI/AAAAAAAHA1s/EGZZliuKXoM/s1600/0L7C2356.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5JJjyfpfB_E/VM6hYSGLyVI/AAAAAAAHA1k/267iuRviqxY/s1600/0L7C2360.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S_7YabJzTKk/VM6hvL5mP-I/AAAAAAAHA10/06qN_0CJN9c/s1600/0L7C2377.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/6.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ATUA NA ZARI MJINI SONGEA, APIGA SHOO KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s72-c/unnamed+(51).jpg)
MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YT44MPu7bAI/UuzJAFw0WAI/AAAAAAACZy8/s5gGAoVZvvg/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
10 years ago
CloudsFM30 Jan
MAANDALIZI YA TAMASHA LA MIAKA 10 YA THT Escape 1 MIKOCHENI YAKAMILIKA
Tamasha la miaka kumi ya THT litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya Escape 1 Mikocheni, limekamilisha maandalizi yake na hivyo kuwataka wadau na wapenzi wake wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani kubwa ya mziki hapa nchini.
THT, ambayo inasifika kwa kuzalisha wasanii mahiri nchini kama Linah, Barnaba, Mwasiti, Ditto, Mataluma, Vumi, Beka, Recho, Marlaw, Msami, Makomando na wengine wengi, imejipanga kutoa burudani kubwa ya mziki kwa mashabiki wake.
Akizungumza kuhusu maandalizi...
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...