Maandamano ya suruali za ndani
Waandamanji washusha bendera iliokuwa imewekwa juu ya jumba la rais na kupandisha suruali ya ndani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wanaovalia suruali za kubana waonywa
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 35 alilazimika kutolewa ndani ya suruali ndefu aina ya Jeans, baada ya miguu yake kuvimba kupita kiasi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NahaGYsbu0xOxUjGxq4qOssw6M4GOKTW9Z5HjOJAxx6EpGLrPBLmHeXiku2wbguEaW18fdFVcqUuFbVUkismRjdz/image.jpg?width=650)
KWA NINI UNAMUACHA MUMEO ANALALA NA SURUALI?
BILA shaka wiki iliyopita mlifurahia mada ya n‘makosa ya wanawake, wanaume katika kuridhishana’ kwani nilipata ujumbe (SMS) kutoka kwa watu mbalimbali wakielezea kuguswa na mada hiyo. Wapo walioomba ushauri wa jinsi ya kumtendea mume ili ndoa iwe na Amani muda wote. Lakini kuna ujumbe wa mwanamke mmoja ulinifikia akilalamikia kuhusu tabia iliyokomaa ya mumewe kulala na suruali mpaka asubuhi. Na mimi nikaamua kutumia...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Siri ya wanaume kupenda kuvaa suruali nyeusi
Nimesimama Kituo cha Daladala Mbezi Mwisho, saa moja asubuhi kusubiri usafiri wa kuelekea kazini. Watu ni wengi, kila mmoja yuko makini kufuatilia mabasi yanayoingia kituoni hapo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcQhoKy6yeiZLQO08eb-HGECHZfVf48XCEEJGKVC8DHYwfZdMBkF7mBvUaPvYd6Cr9SMH8F6YIT3zafVfvou6nA/BACK.jpg?width=650)
FEDHEHA KUBWA MUME WA MTU AKUTWA NA CHANGUDOA AKIVAA SURUALI
WAANDISHI WETU Ikiwa kwenye misele ya mlala nje, ile Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, imenasa tukio la aina yake ambapo mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni mume wa mtu amekutwa na mwanamke changudoa akivaa suruali baada ya kuvunja amri ya sita ya Mungu kwenye eneo la biashara ya mamantilie! Wakihamaki baada ya kukurupushwa. Tukio hilo la aina yake lilinaswa kwenye uchochoro mmoja, maeneo ya Mwenge, Dar,...
10 years ago
Bongo529 Dec
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka
Said Fella amedai kuwa mashehe walihi kumfuata na kumtaka aache tabia ya kumvalisha suruali Bibi Cheka. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi TV, Fella alisema mashehe hao walimfuata na kumwambia Bibi Cheka anatakiwa kuswali na sio kufanya muziki. “Kuna muda si unajua dini yangu ya Kiislam wakatokea mashehe ‘ehh bwana unajua yule bibi mzee, kwanini mnamvalisha […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania