Mabango ya Lema yaichanganya CCM
Mabango ya mgombea ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema, Godbless Lema yamezua kizazaa baada ya CCM kutaka yaondolewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Sep
Stars yaichanganya Nigeria
IKIWA imesalia siku moja kabla ya mechi ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars dhidi ya Nigeria, kocha Sunday Oliseh ameonesha hofu akisema hawafahamu wapinzani wake.
10 years ago
TheCitizen27 Dec
CCM’s Mtui vows to take on Lema
10 years ago
Mtanzania08 May
Lema: CCM hawawezi kuning’oa Arusha
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amesema hajaona mgombea ubunge mwenye uwezo wa kupambana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, amewataka wananchi wa jimbo hilo wajiandikishe kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kukiondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani.
Lema aliyasema hayo juzi mjini hapa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
“Hali ya usalama na kisiasa Arusha ni nzuri, CCM hawapo Arusha. Kwa...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
JK apokewa kwa mabango Kibaigwa
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kodi za mabango zawakera wafanyabiashara
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Mabango ya Lowassa yazua kizaazaa
AZIZA MASOUD NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
MABANGO yenye picha ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, yanayoendelea kubandikwa katika maeneo mbalimbali nchini yamezua kizaazaa, baada ya mengine kuondolewa na wale wanaofanya kazi ya kuyaweka kutishwa na hata kuwekwa ndani na Jeshi la Polisi.
Hali hiyo imejitokeza mkoani Iringa, ambako vijana wanaofanya kazi ya kuweka mabango hayo waliwekwa ndani na Jeshi la Polisi na jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Kinana apokewa kwa mabango Nzega
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, juzi ulikumbana na wakati mgumu baada ya kupokelewa kwa mabango yanayolaani uamuzi wa serikali ya chama chake kuwaondoa wachimbaji...
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Rais Jonathan - mabango yang'olewe
11 years ago
Mwananchi02 Jul
TUNAPINGA: Nyalandu apokewa kwa mabango