Kinana apokewa kwa mabango Nzega
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, juzi ulikumbana na wakati mgumu baada ya kupokelewa kwa mabango yanayolaani uamuzi wa serikali ya chama chake kuwaondoa wachimbaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Aug
JK apokewa kwa mabango Kibaigwa
11 years ago
Mwananchi02 Jul
TUNAPINGA: Nyalandu apokewa kwa mabango
11 years ago
Dewji Blog12 May
Mkulima auteka msafara wa Kinana Nzega, auelekeza shambani kwake
Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakila kiapo cha utii cha hama hicho baada ya kukabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana katika mkutano wa hadharauliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye wakiwapungia mikono wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Tgaifa katika Kata ya Bukene, wilayani Nzega...
11 years ago
GPLMKULIMA AUTEKA MSAFARA WA KINANA NZEGA, AUELEKEZA SHAMBANI KWAKE
11 years ago
Michuzi11 May
KINANA AWAKUTANISHA WATANI WA JADI HAMIS KIGWANGALAH NA HUSSEIN BASHE WILAYANI NZEGA
Mbunge wa Jimbo la Nzega Hamis Kigwangalah (kushoto), akimpongeza Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Hussein Bashe aliyetoa...
11 years ago
Dewji Blog11 May
Kinana afunika Nzega, Kigwangala na Bashe wachuana kutoa misaada mbele yake
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi juu ya maendeleo ya wananchi yasichukue muda mrefu.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega kwenye mkutano uliofanyika Nzega mjini na kuwaambia wananchi hao kuwa wasisumbuke na wapinzani kwani wapinzani hawapo kwa ajili ya maslahi ya maendeleo ya...
10 years ago
Vijimambo
DKT SHEIN APOKEWA ZANZIBAR KWA KISHINDO


11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI NZEGA KUENDELEA NA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI MKOANI TABORA


10 years ago
VijimamboMASAJU APOKEWA KWA SHANGWE WIZARA YA KATIBA NA SHERIA