Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUNAPINGA: Nyalandu apokewa kwa mabango

>Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu juzi amepokewa kwa mabango na wakazi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha waliokuwa wanataka Serikali itekeleze ahadi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda ya kuwapa chakula bure na kupigwa marufuku kwa ujenzi wa hoteli za kitalii katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

JK apokewa kwa mabango Kibaigwa

Rais Jakaya Kikwete amepokewa kwa mabango na wakazi wa Kibaigwa yaliyokuwa yakielezea kero mbalimbali ikiwamo ukubwa wa ushuru wa mazao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana apokewa kwa mabango Nzega

MSAFARA wa Katibu Mkuu wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, juzi ulikumbana na wakati mgumu baada ya kupokelewa kwa mabango yanayolaani uamuzi wa serikali ya chama chake  kuwaondoa wachimbaji...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT SHEIN APOKEWA ZANZIBAR KWA KISHINDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akivalishwa Skafu na Kijana Chipukizi Pili Hassan Suluhu mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ndege ya Serikali akitokea Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia CCM,[Picha na Ikulu.]Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akivalishwa Skafu na kijana chipukizi ...

 

10 years ago

Vijimambo

MASAJU APOKEWA KWA SHANGWE WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju (kushoto) akikaribishwa Wizara ya Katiba na Sheria kwa shada la maua kutoka kwa mtumishi wa Wizara Bi. Christina Jenga leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam huku Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maimuna Tarishi akishuhudia. Bw. Masaju alifika Wizarani kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe na Rais Jakaya Kikwete ili kubadilishana mawazo na viongozi na watumishi wa Wizara.Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju (kushoto) akibadilishana...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI APOKEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUDEWA MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.
Mgombea Ubunge wa jimbo la...

 

10 years ago

Michuzi

E FM 93.7 yaingia Bagamoyo kwa kishindo na kupokelewa na mabango ya wasilikilizaji wao.

Kituo cha radio kinachokuja kwa kasi jijini Dar es Salaam leo usiku huu kimefanya uzinduzi mkubwa wa radio hiyo mjini Bagamoyo. Pichani Mtangazaji wa michezo wa radio hiyo Maulid Kitenge akiwa na baadhi ya wasikilizaji mara baada ya kuwasili mjini Bagamoyo tayari kwa uzinduzi usiku wa kuamkia leo. Mkude Simba ndani....

 

10 years ago

GPL

CHAMPIONI YANG'ARISHA MADUKA DAR, YAGAWA MABANGO KWA WAUZAJI WAKE

Bango la gazeti la Championi likiwa limebandikwa kwenye kibanda cha kushonea nguo cha 'Sylvia Taailoring' kilichopo Tabata jijini Dar. Duka la Changila lililoko Tandale Magharibi likiwa na bango la Championi…

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA ,JESHI LA POLISI IRINGA LAONYA WANAOCHANA MABANGO YA WAGOMBEA .

Maandamano  ya  askari  polisi kuelekea katika  maadhimisho  ya  wiki ya nenda kwa usalama Maadhimisho ya wiki ya  nenda  kwa  usalama mkoa  wa Iringa  leo Askari  wa FFU  wakiwa katika maadhimisho hayo. 
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza akiongoza kupokea maandamano leo.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.




 















 

10 years ago

GPL

ALIYEIPONZA MISS TZ APOKEWA KIFALME MORO


Stori Dustan Shekidele, Morogoro/Ijumaa
MSHIRIKI wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014, aliyeshinda taji hilo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na baadaye kuthibitika kuwa alighushi umri na hivyo kulitema na kusababisha kufungiwa kwa shindano hilo, Sitti Mtemvu, juzikati alipokewa kama mfalme alipofanya ziara fupi mjini Morogoro. Mshiriki  wa Shindano la… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani