mabingwa watetezi spain wafungashiwa virago, Cameroon na Australia nao kwaheri
![](http://3.bp.blogspot.com/-txN35yl0W_Q/U6JnAUDt1UI/AAAAAAAFrmQ/AI8XqM5fxAo/s72-c/2376628_xbig-lnd.jpg)
Wachezaji wa Spain wakitoka nje ya uwanja baada ya kuvuliwa ubingwa wa dunia na kufungashiwa virago na Chile (chini)
Na Sultani Kipingo
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa wa aina yake huko Brazil. Utawala wa Wafalme wa Kombe la Dunia, Spain, uliota mbawa. Mchezaji wa Australia alifunga goli la mwaka, na Mfalme Willem-Alexander na Malkia Maxima wa Uholanzi walisisimkwa mno kuona nchi wanayoongoza ikipiga hatua mbele kuelekea Ubingwa kiasi hata wakapozi picha za selfie na Arjen Robben, Robin...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s72-c/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Mabingwa watetezi kombe la Dunia Spain Mbendembende mbele ya Holland, yachapwa 5-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s1600/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Siku ya tatu tu tokea michuano ya kombe la Dunia ianze nchini Brazil, tayari mabingwa watetezi Spain wanakuta kombe hilo linateleza mikononi mwao. Japokuwa miaka minne iliyopita walipoteza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya Switzerland huko Afrika ya Kusini, lakini hiyo haiwezi kulinganishwa na kilichotokea uwanja wa Fonte Nova katika mji wa Salvador ulio Kaskazini-Mashariki ya Brazil usiku wa kuamkia leo baada ya kuchwapwa bao 5-1 na Holland. Hilo ni...
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Australia ndio mabingwa wa Kriketi
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
UB yawaasa watetezi haki za binadamu
CHUO Kikuu cha Bagamoyo (UB), kimewataka washiriki 10 wa mafunzo ya utetezi wa Haki za Binadamu na Utawala wa Sheria kutoka nchi za Afrika Mashariki ( EAC), kuhakikisha wanashiriki mafunzo...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Watetezi wa chama tawala Burundi wauawa
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Polisi kushirikiana na watetezi wa haki za binadamu
JESHI la Polisi nchini limeahidi kufanya kazi kwa ukaribu na watetezi wa haki za binadamu ili waweze kutekeleza majukumu yao katika hali ya usalama. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini...