Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabingwa watetezi kombe la Dunia Spain Mbendembende mbele ya Holland, yachapwa 5-1


Na Sultani Kipingo 
wa Globu ya Jamii
Siku ya tatu tu tokea michuano ya kombe la Dunia ianze nchini Brazil, tayari mabingwa watetezi Spain wanakuta kombe hilo linateleza mikononi mwao.  Japokuwa miaka minne iliyopita walipoteza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya Switzerland huko Afrika ya Kusini, lakini hiyo haiwezi kulinganishwa na kilichotokea uwanja wa Fonte Nova katika mji wa Salvador ulio Kaskazini-Mashariki ya Brazil usiku wa kuamkia leo baada ya kuchwapwa bao 5-1 na Holland.

Hilo ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mabingwa watetezi spain wafungashiwa virago, Cameroon na Australia nao kwaheri

Wachezaji wa Spain wakitoka nje ya uwanja baada ya kuvuliwa ubingwa wa dunia na kufungashiwa virago na Chile (chini) Na Sultani Kipingo Usiku wa kuamkia leo ulikuwa wa aina yake huko Brazil. Utawala wa Wafalme wa Kombe la Dunia, Spain, uliota mbawa. Mchezaji wa Australia alifunga goli la mwaka, na Mfalme Willem-Alexander na Malkia Maxima wa Uholanzi walisisimkwa mno kuona nchi wanayoongoza ikipiga hatua mbele kuelekea Ubingwa kiasi hata wakapozi picha za selfie na Arjen  Robben, Robin...

 

9 years ago

Bongo5

Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana

Nigeria 3

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

2731461_full-lnd

Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

2731456_big-lnd

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Nigeria 3

Mshambuliajia Victor Osimhen...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Persie, Robben lead Holland to 5-1 win over Spain

It was Spain's worst defeat in more than half a century, coming 51 years after a 6-2 defeat to Scotland in 1963.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Chile may spoil World Cup run for Spain, Holland

Jorge Sampaoli’s artful Chile virtually guarantee first round drama.

 

11 years ago

GPL

SPAIN MELI YA UDOGO YACHAPWA TANO

 Robin Van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia. Robin van…

 

5 years ago

BBCSwahili

Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England

Manchester City imepigwa marufuku kushiriki katika ligi ya mabingwa kwa misimu miwili na Uefa

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC

Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza  wiki ijayo.  Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...

 

11 years ago

GPL

KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Hispania Luis Aragones amefariki dunia, akiwa na miaka 75, jumamosi ya leo katika clinic moja jijini Madrid, daktari Pedro Guillen amethibitisha. Kocha huyu atakumbukwa kwa kuiongoza Hispania katika awamu mpya ya mafanikio mnamo mwaka 2008, alipoiwezesha timu hiyo kutwaa kombe la EURO na baada ya hapo alistaafu na kumpisha Del Bosque. Aliifundisha Spain kuanzia mwaka 2004 - 2008. ...

 

9 years ago

Habarileo

Zimamoto mabingwa Kombe la Makocha

MAFANDE wa timu ya Zimamoto wametwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Makocha kwa kuifunga Miembeni City kwa mikwaju ya penalti 4-3 katika mchezo wa fainali uliochezwa juzi kwenye uwanja wa Amaan mjini Unguja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani