Mabingwa watetezi kombe la Dunia Spain Mbendembende mbele ya Holland, yachapwa 5-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s72-c/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Siku ya tatu tu tokea michuano ya kombe la Dunia ianze nchini Brazil, tayari mabingwa watetezi Spain wanakuta kombe hilo linateleza mikononi mwao.
Japokuwa miaka minne iliyopita walipoteza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya Switzerland huko Afrika ya Kusini, lakini hiyo haiwezi kulinganishwa na kilichotokea uwanja wa Fonte Nova katika mji wa Salvador ulio Kaskazini-Mashariki ya Brazil usiku wa kuamkia leo baada ya kuchwapwa bao 5-1 na Holland.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-txN35yl0W_Q/U6JnAUDt1UI/AAAAAAAFrmQ/AI8XqM5fxAo/s72-c/2376628_xbig-lnd.jpg)
mabingwa watetezi spain wafungashiwa virago, Cameroon na Australia nao kwaheri
![](http://3.bp.blogspot.com/-txN35yl0W_Q/U6JnAUDt1UI/AAAAAAAFrmQ/AI8XqM5fxAo/s1600/2376628_xbig-lnd.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dPNSlKQCLYE/U6JrQPXqXEI/AAAAAAAFrmg/LrTVSOkvAuc/s1600/article-2660193-1EE546DA00000578-95_964x386.jpg)
9 years ago
Bongo509 Nov
Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana
![Nigeria 3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nigeria-3-300x194.jpg)
Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.
Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.
Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.
Mshambuliajia Victor Osimhen...
11 years ago
TheCitizen14 Jun
BRAZIL 2014: Persie, Robben lead Holland to 5-1 win over Spain
11 years ago
TheCitizen11 Jun
BRAZIL 2014: Chile may spoil World Cup run for Spain, Holland
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkME3FI3jEIRJPH8gn1cdHZyN7ngHugqlOXwabkBhtRcS0r6ZpovMNk4TP2GEgn3DCPuuvtNnOv-DVkwDDa9Ndv/10363099_446914968779304_1305064569216348722_n.jpg?width=650)
SPAIN MELI YA UDOGO YACHAPWA TANO
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ajvWrqtOt1g/UuyrGfE9RQI/AAAAAAAAqOE/4T5aPkZj4-0/s1600/pw105-125-2013-165105-high-jpg.jpg)
KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO
9 years ago
Habarileo13 Sep
Zimamoto mabingwa Kombe la Makocha
MAFANDE wa timu ya Zimamoto wametwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Makocha kwa kuifunga Miembeni City kwa mikwaju ya penalti 4-3 katika mchezo wa fainali uliochezwa juzi kwenye uwanja wa Amaan mjini Unguja.