Mabomu yatawanya machinga Mwanza
POLISI mkoani hapa wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga waliocharuka baada ya kuona vibanda vyao walivyojenga maeneo yasiyoruhusiwa vikibomolewa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV28 Jan
Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.
Na Glory Matola,
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.
Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...
10 years ago
GPLMACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME
10 years ago
GPLPOLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCxu2LB3sDsIGMleJ9ijNgmmGPLZK7Yy-3I-vuFigcFpJQTCCQ*ezB*J7m5uDw6ArFzRNZuywsoE0RcEc6gxEs3r/KARUME.jpg?width=650)
VURUGU KARUME: JESHI LA POLISI LATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA MACHINGA DAR
11 years ago
Daily News12 Jun
Machinga rioters wreak havoc in Mwanza
Daily News
PRIME Minister Mizengo Pinda was striving to intervene and control the 'machinga' crisis, that was reportedly threatening people's lives and their property in the lakeside city of Mwanza. Nyamagana legislator Ezekia Wenje raised the issue in the august ...
10 years ago
GPLMACHINGA, WAUZA MAGAZETI WACHUKULIWA MALI ZAO JIJINI MWANZA
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabomu yarindima jijini Mwanza
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mabomu ya machozi yarindima Mwanza
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA MWANZA AWAJIA JUU VIONGOZI WA JIJI, ATAKA MACHINGA WAPEWE MAENEO YA BIASHARA