Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabomu yatawanya machinga Mwanza

POLISI mkoani hapa wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga waliocharuka baada ya kuona vibanda vyao walivyojenga maeneo yasiyoruhusiwa vikibomolewa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.

Na Glory Matola,

Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.

Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...

 

10 years ago

GPL

MACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME

Baadhi ya wananchi na machinga wakikimbia. Hali ilivyokuwa baada ya…

 

10 years ago

GPL

POLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO

Moto uliowashwa na machinga ukiwaka barabarani eneo la Kamata, Kariakoo jijini Dar leo. Gari la zimamoto likiwasili eneo la kamata kuzima moto uliowashwa na machinga.…

 

10 years ago

GPL

VURUGU KARUME: JESHI LA POLISI LATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA MACHINGA DAR

Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam jioni hii limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya machinga wanaolazimisha kufanyia biashara eneo la Karume baada ya kukataa kuondoka eneo hilo kwa ustaarabu na kuzua vurugu.  (Picha na Gabriel Ng'osha / Global Whatsapp 0753 715 779)

 

11 years ago

Daily News

Machinga rioters wreak havoc in Mwanza


Machinga rioters wreak havoc in Mwanza
Daily News
PRIME Minister Mizengo Pinda was striving to intervene and control the 'machinga' crisis, that was reportedly threatening people's lives and their property in the lakeside city of Mwanza. Nyamagana legislator Ezekia Wenje raised the issue in the august ...

 

10 years ago

GPL

MACHINGA, WAUZA MAGAZETI WACHUKULIWA MALI ZAO JIJINI MWANZA

Polisi na askari wa Jiji la Mwanza wakiwa wamekusanya mali za machinga na kuzipakia kwenye gari. Baadhi ya machinga waliokamatwa wakiwa kwenye gari la polisi. Magari ya polisi yakiwa na mali za machinga.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mabomu yarindima jijini Mwanza

>Hali ya amani katikati ya Jiji la Mwanza jana ilichafuka kwa takriban saa mbili kutokana polisi kupambana na wananchi, waliokuwa wakipinga hatua ya madhehebu ya Kihindi ya Swaminarayan kufunga Mtaa wa Makoroboi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu ya machozi yarindima Mwanza

Polisi mkoani Mwanza wametumia mabomu ya machozi mapema leo kutawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema  walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya awali.

 

10 years ago

GPL

MKUU WA MKOA MWANZA AWAJIA JUU VIONGOZI WA JIJI, ATAKA MACHINGA WAPEWE MAENEO YA BIASHARA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiongea na Machinga leo jijini Mwanza.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani