Macho yote vipaji vipya Stars leo
WAKATI timu ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ikishuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo kucheza pambano la kirafiki la kimataifa dhidi ya Burundi, Kocha wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_0997.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUVUMBUA VIPAJI VIPYA, TUKUTANE PALE KATI JIONI YA LEO
Kikosi kazi cha Skylight Band kikishambulia jukwaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku shabiki wao akipata Ukodak mbele ya jukwaa. Joniko Flower akichana mistari huku wenzake wakionyesha umahiri wao wa kusebeneka.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQleMpK13Xzrfq*lMbv1YX*LgqFxG5bAFZhRhL65mb9tF3m6dP6fbkX0O5FTPSw0KsFQTTyF5srnrpo6kfCw1AB/grumo.jpg?width=650)
MACHO YOTE LEO NI GURUMO 53 TCC CLUB CHANG’OMBE
HATIMAYE ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi, imewadia, ni GURUMO 53 ndani ya viwanja vya TCC Club, Chang’ombe leo Jumamosi Disemba 14. Kama tangazo linavyojionyesha, ni tamasha kubwa la muziki wa dansi la kustaafu kwa gwiji Muhidin Maalim Gurumo aliyeitumikia fani hiyo kwa miaka 53 mfululizo. Gurumo ataimba angalau wimbo mmoja au zaidi wa kila bendi aliyopitia katika safari yake ndefu kimuziki. Hadi kustaafu kwake...
10 years ago
GPLMTIBWA WATAFUTA VIPAJI VIPYA KWA AJILI YA LIGI KUU
Kocha Msaidizi wa Mtibwa Sugar, Zubeir Katwila (aliyenyoosha mkono) akiwafanyia usaili wachezaji hao.
Picha zingine vijana wakioneshana ujuzi katika kujaribu bahati yao. KOCHA wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime na Msaidizi wake, Zubeir Katwila, leo walikuwa na kazi ya kuwachuja wachezaji wapya waliofika kwenye mazoezi ya timu hiyo jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiunga na… ...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Twanga Pepeta: Miaka 20 ya uhai wake ikikuza vipaji, kuibua vipya
Kuzaliwa na kufa siyo tukio linalojitokeza katika maisha ya binadamu pekee bali hata kwa makundi mbalimbali ya kijamii hata burudani.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Hivi sasa macho yote Brazil.
Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinaanza Alhamisi hii nchini Brazil huku timu za Amerika Kusini zikipewa nafasi kubwa ya kulibakiza kombe hilo kwenye ardhi yao.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Macho yote yaelekezwa Sudan Kusini
UN umesema upo tayari kuchukua hatua haraka iwapo rais wa Sudan Kusini Salva Kiir hatotia saini makubaliano ya amani na waasi.
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Macho yote kwa Arsenal, Chelsea
Kipa Petr Cech amesisitiza Arsenal itasahau yaliyotokea katika Ligi ya Mabingwa kwa kushinda mchezo wao dhidi ya Tottenham Hotspur, huku Jose Mourinho akiwa na furaha kidogo wakati Chelsea itakapokuwa ugenini kuivaa Stoke.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Macho yote Qunu: Buriani Tata Madiba
Huzuni na simanzi viliyateka maeneo ya Mthatha na Qunu katika Jimbo la Eastern Cape, Afrika Kusini baada ya kuwasili kwa mwili wa rais wa kwanza mzalendo wa nchi, Nelson Mandela.
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Macho yote CCM kwa Warioba leoÂ
MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania