Madadi asaka heshima Namibia
>Kocha wa muda wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars), Salum Madadi leo atakuwa na kazi moja ya kuhakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Namibia kwenye wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika jijini Windhoek.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen04 Mar
Madadi: Stars will beat Namibians
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Madadi matumaini kibao Stars
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Minziro asaka sita
10 years ago
Habarileo13 Aug
Kerr asaka mshambuliaji
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr anasaka mshambuliaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake. Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya usajili kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Septemba 22 mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9EeLqJaZsTv-d62VE70MleGzhEVgVQFl2f0-W-HJXqvJAP99Bmffv976lsWNl2oalDPXNEOHNTYXH2IHgS7oUjX/mainda.jpg?width=650)
MAINDA ASAKA MUME
10 years ago
Habarileo25 Apr
Mangula ‘asaka’ wasaliti CCM
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.
11 years ago
Habarileo08 Jun
Babu wa miaka 97 asaka mtoto
BABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa Mpulungu mwambao wa Ziwa Tanganyika nchi jirani ya Zambia miezi sita iliyopita kwa lengo la kufanya tambiko la kumwezesha mkewe mwenye umri wa miaka 83 kupata mtoto wa uzeeni.