Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madadi asaka heshima Namibia

>Kocha wa muda wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars), Salum Madadi leo atakuwa na kazi moja ya kuhakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Namibia kwenye wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika jijini Windhoek.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Madadi: Stars will beat Namibians

Tanzania national soccer team, Taifa Stars, technical bench caretaker Salum Madadi believes they will upset hosts Namibia despite the absence of some key players.

 

11 years ago

Mwananchi

Madadi matumaini kibao Stars

Kocha wa muda wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) Salum Madadi amesema ana matumaini makubwa kwamba kikosi chake kitaibuka na ushindi katika pambano lao dhidi ya Namibia.

 

11 years ago

Mwananchi

Minziro asaka sita

Baada ya kuichakaza Mtibwa Sugar na kuvuna pointi tatu, kocha wa JKT Ruvu, Fred Minziro amesema sasa anaielekeza akili yake katika kuhakikisha anashinda mechi mbili kati ya tano zilizosalia ili kubakia Ligi Kuu.

 

10 years ago

Habarileo

Kerr asaka mshambuliaji

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr anasaka mshambuliaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake. Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya usajili kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Septemba 22 mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

MAINDA ASAKA MUME

Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kwa sasa hahitaji mchumba wala mpenzi, anahitaji mume wa kumuweka ndani. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema hata akifuatwa na mtu mwenye fedha nyingi kutaka uhusiano naye, hawezi kumkubalia kwani anachotaka sasa hivi ni ndoa tu. “Kwa sasa mpenzi wangu ni Yesu na kutokana na yeye mume wangu nimeshamuona kwenye maono…yulee...

 

10 years ago

Habarileo

Mangula ‘asaka’ wasaliti CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCMMAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.

 

11 years ago

Habarileo

Babu wa miaka 97 asaka mtoto

 Mathias KisokotaBABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa Mpulungu mwambao wa Ziwa Tanganyika nchi jirani ya Zambia miezi sita iliyopita kwa lengo la kufanya tambiko la kumwezesha mkewe mwenye umri wa miaka 83 kupata mtoto wa uzeeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani