Minziro asaka sita
Baada ya kuichakaza Mtibwa Sugar na kuvuna pointi tatu, kocha wa JKT Ruvu, Fred Minziro amesema sasa anaielekeza akili yake katika kuhakikisha anashinda mechi mbili kati ya tano zilizosalia ili kubakia Ligi Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini

11 years ago
Habarileo19 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita abakwa na watu sita
MWANAFUNZI wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha mkoani Arusha hali yake siyo nzuri baada ya kunajisiwa na watu sita.
10 years ago
GPL
JULIO ATAMBA KUMKALISHA MINZIRO
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Minziro kutibua sherehe Yanga leo?
10 years ago
Vijimambo22 May
Minziro awadaka wote waliotemwa Yanga

Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro.
Sweetbert Lukonge, Dar es SalaamSIKU chache baada ya Yanga kudaiwa kuwa ina mpango wa kuwatema nyota wake 11 wa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro, ameibuka na kuomba apatiwe wachezaji hao.
Baadhi ya wachezaji ambao Yanga inadaiwa kutaka kuwafungashia virago klabuni hapo ni Jerry Tegete, Hussein Javu, Danny Mrwanda, Nizar Khalfan, Rajabu Zahir, Edward Charles na Hassan Dilunga sababu ikiwa ni kushindwa kuonyesha uwezo wa juu.
Minziro,...
11 years ago
Mwananchi05 May
Minziro kuisuka upya JKT Ruvu
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Minziro: Nainoa Yanga kwa mapenzi
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro
KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...
10 years ago
TheCitizen09 Sep
Minziro hits at top teams over foreign players