Minziro: Nainoa Yanga kwa mapenzi
>Kocha msaidizi wa Yanga, Fred Felix Minziro amesema hana wasiwasi kuhusu hatima ya kibarua chake kwani amefanya kazi muda wote bila ya mkataba wowote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 May
Minziro awadaka wote waliotemwa Yanga
![](http://api.ning.com/files/NHPaItPS5EgdQwVwZzBORM6qr3uv2riR7ULYkPF72RPO-uFVYFERi4hBivNugHGywJlJ9M60zP8qHVYqGA9Oy5LsFyTX6gTy/MINZIRO.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro.
Sweetbert Lukonge, Dar es SalaamSIKU chache baada ya Yanga kudaiwa kuwa ina mpango wa kuwatema nyota wake 11 wa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro, ameibuka na kuomba apatiwe wachezaji hao.
Baadhi ya wachezaji ambao Yanga inadaiwa kutaka kuwafungashia virago klabuni hapo ni Jerry Tegete, Hussein Javu, Danny Mrwanda, Nizar Khalfan, Rajabu Zahir, Edward Charles na Hassan Dilunga sababu ikiwa ni kushindwa kuonyesha uwezo wa juu.
Minziro,...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Minziro kutibua sherehe Yanga leo?
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Fred Minziro apigiwa chapuo kurejea Yanga
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Okwi: Nitaichezea Yanga kwa mapenzi makubwa
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Minziro asaka sita
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXxvHWWFlsLF6MWL6eE07gy8agK9N0KdqkarCrJyyDdITNWXTBOzwzgcLQ9psvxHvBI4YdpghBvNGBIZ7YrRyXu/JULIO.jpg?width=650)
JULIO ATAMBA KUMKALISHA MINZIRO