Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minziro kutibua sherehe Yanga leo?

Yanga inaumana na JKT Ruvu ya Fred Felix Minziro leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini ni kocha mkuu wa kikosi hicho cha wanajeshi anayeweza kutibua hesabu za mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm kusaka ubingwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Polisi kutibua sherehe ya Yanga?

Polisi Morogoro itakuwa na kibarua kizito cha kuchelewesha shangwe za ubingwa zilizoandaliwa na viongozi wa Yanga leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Minziro awadaka wote waliotemwa Yanga


Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro.
Sweetbert Lukonge, Dar es SalaamSIKU chache baada ya Yanga kudaiwa kuwa ina mpango wa kuwatema nyota wake 11 wa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro, ameibuka na kuomba apatiwe wachezaji hao.
Baadhi ya wachezaji ambao Yanga inadaiwa kutaka kuwafungashia virago klabuni hapo ni Jerry Tegete, Hussein Javu, Danny Mrwanda, Nizar Khalfan, Rajabu Zahir, Edward Charles na Hassan Dilunga sababu ikiwa ni kushindwa kuonyesha uwezo wa juu.
Minziro,...

 

11 years ago

Mwananchi

Minziro: Nainoa Yanga kwa mapenzi

>Kocha msaidizi wa Yanga, Fred Felix Minziro amesema hana wasiwasi kuhusu hatima ya kibarua chake kwani amefanya kazi muda wote bila ya mkataba wowote.

 

9 years ago

Mwananchi

Fred Minziro apigiwa chapuo kurejea Yanga

Klabu ya Yanga imesema tayari imepata mrithi wa kocha msaidizi Charles Boniface Mkwassa aliyesaini Taifa Stars kwa miaka miwili.

 

11 years ago

Mwananchi

Kajitiba ka katiba ni kutubu si kutibua

Ama kweli watu wamechoka. Hebu ona barua ya huyu jamaa. Makengeza Nilipokuwa napita zangu juzi nikamsikia jamaa katoa kitendawili cha kisasa.

 

10 years ago

GPL

WEMA ADAIWA KUTIBUA NDOA YA PETIT MAN

MUSA MATEJA NA IMELDA MTEMA Hatimaye lile sekeseke la ndoa ya meneja wa wasanii wa Bongo Fleva wanaosimamiwa na Kampuni ya Endless Fame, Petit Man na mdogo wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz limemdondokea Wema Isaac Sepetu anayedaiwa kuitibua kiasi cha kuwatenganisha na kila mmoja kuchukua hamsini zake. Habari kutoka chanzo chetu zilidai kwamba, Wema amehusika kwa asilimia kubwa kutibua...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga kila siku kwao sherehe, Simba bado

YANGA jana ilizidi kuchanja mbuga kuelekea kutetea taji lake la Ligi Kuu baada ya jana kuifunga Mbeya City mabao 3-0. Ushindi huo umeifanya Yanga ifikishe pointi 33 kwenye msimamo ikiwa kileleni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani