Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi kutibua sherehe ya Yanga?

Polisi Morogoro itakuwa na kibarua kizito cha kuchelewesha shangwe za ubingwa zilizoandaliwa na viongozi wa Yanga leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Minziro kutibua sherehe Yanga leo?

Yanga inaumana na JKT Ruvu ya Fred Felix Minziro leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini ni kocha mkuu wa kikosi hicho cha wanajeshi anayeweza kutibua hesabu za mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm kusaka ubingwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kajitiba ka katiba ni kutubu si kutibua

Ama kweli watu wamechoka. Hebu ona barua ya huyu jamaa. Makengeza Nilipokuwa napita zangu juzi nikamsikia jamaa katoa kitendawili cha kisasa.

 

10 years ago

GPL

WEMA ADAIWA KUTIBUA NDOA YA PETIT MAN

MUSA MATEJA NA IMELDA MTEMA Hatimaye lile sekeseke la ndoa ya meneja wa wasanii wa Bongo Fleva wanaosimamiwa na Kampuni ya Endless Fame, Petit Man na mdogo wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz limemdondokea Wema Isaac Sepetu anayedaiwa kuitibua kiasi cha kuwatenganisha na kila mmoja kuchukua hamsini zake. Habari kutoka chanzo chetu zilidai kwamba, Wema amehusika kwa asilimia kubwa kutibua...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga kila siku kwao sherehe, Simba bado

YANGA jana ilizidi kuchanja mbuga kuelekea kutetea taji lake la Ligi Kuu baada ya jana kuifunga Mbeya City mabao 3-0. Ushindi huo umeifanya Yanga ifikishe pointi 33 kwenye msimamo ikiwa kileleni.

 

10 years ago

Michuzi

TABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.

Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure akizungumza na waandishi leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO , Jijini Dar es Salaam juu ya  Maandalizi ya Sherehe za ubingwa wa Timu ya Yanga itakayofayika Juni 16 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Kulia ni Mweka hazina wa tawi hilo Lawrence Zephiline.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam.(PICHA NA...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAIPIGA POLISI KOMBAINI 3-0

Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akijiandaa kupiga mpira huku beki wa timu ya Kombaini ya Polisi,  Salmin Kiss akijaribu kumzuia katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-0. (Picha na Francis Dande)
 Golikipa wa Polisi Kombaini, Kondo Sulum akiokoa moja ya hatari langoni mwake.

Golikipa wa Polisi Kombaini, Kondo Sulum akiokoa moja ya hatari langoni mwake.
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akiruka daluga la beki wa timu ya Kombaini...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara

Wakati Yanga ikishuka uwanjani leo mjini Morogoro kuikabili Polisi, makocha wa timu hizo wamechimbana mkwara kwa kila mmoja kumwadhiri mwenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani