Polisi kutibua sherehe ya Yanga?
Polisi Morogoro itakuwa na kibarua kizito cha kuchelewesha shangwe za ubingwa zilizoandaliwa na viongozi wa Yanga leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Minziro kutibua sherehe Yanga leo?
Yanga inaumana na JKT Ruvu ya Fred Felix Minziro leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, lakini ni kocha mkuu wa kikosi hicho cha wanajeshi anayeweza kutibua hesabu za mwenzake wa Yanga, Hans Pluijm kusaka ubingwa.
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Kajitiba ka katiba ni kutubu si kutibua
Ama kweli watu wamechoka. Hebu ona barua ya huyu jamaa. Makengeza Nilipokuwa napita zangu juzi nikamsikia jamaa katoa kitendawili cha kisasa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*bkVy7*I29pwpKpLE*H-BPcH4YaO-CZGcCWmsupAqofxui727bH9DH4U25hsi97GLdXSKbee58ScJby3IJjN66/wema.jpg?width=650)
WEMA ADAIWA KUTIBUA NDOA YA PETIT MAN
MUSA MATEJA NA IMELDA MTEMA Hatimaye lile sekeseke la ndoa ya meneja wa wasanii wa Bongo Fleva wanaosimamiwa na Kampuni ya Endless Fame, Petit Man na mdogo wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz limemdondokea Wema Isaac Sepetu anayedaiwa kuitibua kiasi cha kuwatenganisha na kila mmoja kuchukua hamsini zake. Habari kutoka chanzo chetu zilidai kwamba, Wema amehusika kwa asilimia kubwa kutibua...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Yanga kila siku kwao sherehe, Simba bado
YANGA jana ilizidi kuchanja mbuga kuelekea kutetea taji lake la Ligi Kuu baada ya jana kuifunga Mbeya City mabao 3-0. Ushindi huo umeifanya Yanga ifikishe pointi 33 kwenye msimamo ikiwa kileleni.
10 years ago
MichuziTABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.
9 years ago
Michuzi28 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-oveb8xagyJE/VaKW-iZRdRI/AAAAAAABda0/6724UIZsUiQ/s72-c/Donal%2BNgoma%2Bakichuana%2Bna%2Bbeki%2Bwa%2Btimu%2Bya%2BKombaini%2Bya%2BPolisi%2BSalmin%2BKiss.jpg)
YANGA YAIPIGA POLISI KOMBAINI 3-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-oveb8xagyJE/VaKW-iZRdRI/AAAAAAABda0/6724UIZsUiQ/s640/Donal%2BNgoma%2Bakichuana%2Bna%2Bbeki%2Bwa%2Btimu%2Bya%2BKombaini%2Bya%2BPolisi%2BSalmin%2BKiss.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_nzqxmPenlw/VaKeTZfwlzI/AAAAAAABdcc/2veWyjUeovI/s640/Amis%2BTabwe%2Bakiruka%2Bjuu%2Bkatika%2Bharakati%2Bza%2Bkufunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IxNS45hDFCE/VaKb6zirMHI/AAAAAAABdcA/nJbrK-mhW08/s640/Golikipa%2Bwa%2BPolisi%2BKombaini%2Bakiruka%2Bjuu%2Bkuokoa%2Bhatari%2Blangoni%2Bmwake.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara
Wakati Yanga ikishuka uwanjani leo mjini Morogoro kuikabili Polisi, makocha wa timu hizo wamechimbana mkwara kwa kila mmoja kumwadhiri mwenzake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania