Minziro awadaka wote waliotemwa Yanga
Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro.
Sweetbert Lukonge, Dar es SalaamSIKU chache baada ya Yanga kudaiwa kuwa ina mpango wa kuwatema nyota wake 11 wa kikosi hicho, Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Felix Minziro, ameibuka na kuomba apatiwe wachezaji hao.
Baadhi ya wachezaji ambao Yanga inadaiwa kutaka kuwafungashia virago klabuni hapo ni Jerry Tegete, Hussein Javu, Danny Mrwanda, Nizar Khalfan, Rajabu Zahir, Edward Charles na Hassan Dilunga sababu ikiwa ni kushindwa kuonyesha uwezo wa juu.
Minziro,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Minziro kutibua sherehe Yanga leo?
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Minziro: Nainoa Yanga kwa mapenzi
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Fred Minziro apigiwa chapuo kurejea Yanga
11 years ago
GPL
Maximo asimamisha usajili wote Yanga
10 years ago
GPL
Kiungo mpya awafunika mastaa wote Yanga
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Waliotemwa Azam FC hawa hapa
HATIMAYE uongozi wa Azam FC umetaja majina ya wachezaji iliowatema huku ikidaiwa kuwa mbioni kumnasa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, ambaye pia anawaniwa na Simba. Azam FC, awali ilitangaza...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Waliotemwa Chadema washinda ACT Wazalendo