Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAI YA POLISI KUMUUA RAIA; MULONGO AWATAKA MISUNGWI KUSUBIRI UCHUNGUZI

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiwatuliza wananchi wa Misungwi baada ya kifo cha Magata Edson.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MADAI YA KUMUUA KANUMBA, LULU KIZIMBANI TENA


Stori: Na Brighton Masalu MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu , Amani lina ripoti mkononi. Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya...

 

9 years ago

Bongo Movies

Madai ya Kumuua Kanumba…Lulu Kizimbani Tena

MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Amani lina ripoti mkononi.

Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya mahakama hiyo jijini Dar, kesi hiyo ilisimama kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi wa Mulongo, polisi wapingwa

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuwazuia wananchi kusafiri kwenda Dodoma hadi Mkutano Mkuu wa CCM utakapomalizika, imepingwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa chama hicho, Mtemi Yareld.

 

9 years ago

BBCSwahili

Buhari awataka raia Nigeria waache utundu

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo waache “tabia ya utundu” ndipo taifa hilo liweze kustawi.

 

5 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI WAKUU POLISI KUWAHOJI WATUHUMIWA WALIOPO MAHABUSU ZA POLISI NCHINI



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza naWatendaji Wakuu wa Jeshi la Polisi Nchini, katika ukumbi wa mikutano wa Jeshihilo, jijini Dar es Salaam, leo. Simbachawene amewataka viongozi haowawakikishe wanawahoji watuhumiwa waliopo katika mahabusu ya vituo vyapolisi nchini ili kujua makosa waliyoyafanya kama wanastahili...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi yakanusha kumuua Mkuya

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Suzan KagandaPOLISI mkoani Tabora imekanusha kuhusika na mauaji ya Mbeyu Mkuya (35), kama inavyodaiwa na ndugu wa marehemu huyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi ‘wameza jiwe’ tuhuma za kumuua Dk. Slaa

kovaNA MWANDISHI WETU
MWENENDO wa uchunguzi dhidi ya madai ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kutaka kuuawa na mlinzi wake binafsi, Khalid Kangezi, umezua shaka.
Hii inatokana na ukimya wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ambapo kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa limeshindwa kuwahoji watuhumiwa waliotajwa na Dk. Slaa.
Gazeti hili limebaini kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati Rwanda

Polisi wawili nchini Rwanda, wamefungwa miaka 20 jela kwa kumuua mwanaharakati wa kupinga ufisadi, aliyekuwa anachunguza kashfa ya ulanguzi wa madini mpakani .

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi wamuua aliyetoroka baada ya kumuua polisi

David-MisimeNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

MTUHUMIWA Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua polisi, G.7168 Koplo Joseph Swai, ameauwa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu lililotumika kwenye mauaji hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la Chang’ombe Juu.

Kamanda Misime alisema baada ya Malya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani