Uamuzi wa Mulongo, polisi wapingwa
Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuwazuia wananchi kusafiri kwenda Dodoma hadi Mkutano Mkuu wa CCM utakapomalizika, imepingwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa chama hicho, Mtemi Yareld.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMADAI YA POLISI KUMUUA RAIA; MULONGO AWATAKA MISUNGWI KUSUBIRI UCHUNGUZI
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Uenyekiti wa Mrema wapingwa mahakamani
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Wahamiaji:Muungano wa Ulaya wapingwa
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Uchaguzi Simba wapingwa kortini
WANACHAMA watatu wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, jana wamefungua kesi Katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiiomba itoe amri ya muda kuzuia uchaguzi mkuu...
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Ukusanyaji wa takwimu za HIV wapingwa
10 years ago
Mtanzania29 May
Muswada wa Habari wapingwa vikali
Na Arodia Peter, Dodoma
MUSWADA wa Habari unaotarajiwa kupelekwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa, umeelezwa kuwa ni kandamizi na tishio kwa usalama wa nchi.
Muswada huo umepingwa ikiwa ni siku chache baada ya Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT) kuwataka wabunge wasiupitishe kwa sababu hauna maslahi kwa taifa.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Waziri Kivuli, Joseph Mbilinyi...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo
PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mulongo aapa kupambana na watumishi wazembe
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa