Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi wa Mulongo, polisi wapingwa

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuwazuia wananchi kusafiri kwenda Dodoma hadi Mkutano Mkuu wa CCM utakapomalizika, imepingwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa chama hicho, Mtemi Yareld.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADAI YA POLISI KUMUUA RAIA; MULONGO AWATAKA MISUNGWI KUSUBIRI UCHUNGUZI

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiwatuliza wananchi wa Misungwi baada ya kifo cha Magata Edson.…

 

10 years ago

Mwananchi

Uenyekiti wa Mrema wapingwa mahakamani

Mwasisi wa chama cha TLP, Stanley Ndamugoba amemburuza mahakamani Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Augustine Mrema akidai si kiongozi halali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Muungano wa Ulaya wapingwa

Makundi ya kupigania haki za kibinadamu yamesema kuwa mikakati ilioafikiwa na muungano wa Ulaya kuzuia wahamiaji sio ufumbuzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi Simba wapingwa kortini

WANACHAMA watatu wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, jana wamefungua kesi Katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiiomba itoe amri ya muda kuzuia uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukusanyaji wa takwimu za HIV wapingwa

Wakereketwa wa haki za kibinadamu Kenya wamepinga mpango wa Serikali wa kukusanya takwimu za watoto wanaougua viini vya HIV.

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa Habari wapingwa vikali

mbilinyiNa Arodia Peter, Dodoma
MUSWADA wa Habari unaotarajiwa kupelekwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa, umeelezwa kuwa ni kandamizi na tishio kwa usalama wa nchi.
Muswada huo umepingwa ikiwa ni siku chache baada ya Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT) kuwataka wabunge wasiupitishe kwa sababu hauna maslahi kwa taifa.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Waziri Kivuli, Joseph Mbilinyi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo


PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Mulongo aapa kupambana na watumishi wazembe

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amewataka watumishi wa Serikali mkoani hapa kufanya kazi kwa kufuata kanuni na utaratibu wa utumishi wa umma, vinginevyo mwaka ujao watauona mchungu kama hawatawajibika ipasavyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Utafiti wa matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine wapingwa

Makala maalumu iliyobainisha kuwa hydroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo kwa wagonjwa wa virusi vya corona imeondolewa kutokana na kuwepo na maswali kuhusu data.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani