Mulongo aapa kupambana na watumishi wazembe
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amewataka watumishi wa Serikali mkoani hapa kufanya kazi kwa kufuata kanuni na utaratibu wa utumishi wa umma, vinginevyo mwaka ujao watauona mchungu kama hawatawajibika ipasavyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m8gNWgPQ4RA/XlFyM3U6YDI/AAAAAAALe2A/aQ24S8eLQO0RhpyZps6vh82mTrBpUbpEgCLcBGAsYHQ/s72-c/72fc6d97-df5c-49c9-82a2-23a4d63d7b98.jpg)
CHAMA CHA MAPINDUZI CHAWAONYA WATUMISHI WA UMMA WAZEMBE NA WANAOCHELEWESHA MAENDELEO YA WATU – PEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-m8gNWgPQ4RA/XlFyM3U6YDI/AAAAAAALe2A/aQ24S8eLQO0RhpyZps6vh82mTrBpUbpEgCLcBGAsYHQ/s640/72fc6d97-df5c-49c9-82a2-23a4d63d7b98.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4669822c-4f50-47ac-b7e8-9a97c6bc4f1a.jpg)
Akizungumza katika kikao cha ndani cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba Zanzibar, Ndugu Humphrey Polepole Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi amesema Chama Cha Mapinduzi kinawaonya Watumishi wa Umma wazembe, wanaochelewesha maendeleo ya Watu Pemba Zanzibar.
Akifafanua suala hilo Ndugu Polepole amesema pamoja na kazi nzuri inayofanywa na Dk. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar bado wapo...
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Ridhiwani Kikwete aapa kupambana na matapeli wa ardhi jimbo la Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete,akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Fukayosi, Kata ya Fukayosi, wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kuwa mbunge miezi sita iliyopita.Ridhiwani kutoruhusu hata kipande cha heka moja kuporwa na matapeli katika jimbo lake la Chalinze.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kijana Salumu Khamis akiuliza swali mbele ya Mbunge Ridhiwani Kikwete kuhusu tatizo la maji katika...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PaDXs1f33g8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s72-c/RC%2B1.jpg)
RC DAR-ES-SALAAM AZINDUA MPANGO KAZI WA KUHARAKISHA KUPUNGUZA VIFO VYA AKINA MAMA NA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 AKEMEA WATUMISHI WAZEMBE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s1600/RC%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ox5EJ6YxCIo/VTXobnbwGNI/AAAAAAABsYw/SW7fbO7UJVE/s1600/RC%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s72-c/RC%2B-1.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AZINDUA MPANGO KAZI WA KUHARAKISHA KUPUNGUZA VIFO VYA AKINA MAMA NA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 AKEMEA WATUMISHI WAZEMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s1600/RC%2B-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QABSGzpajk/VTUqbE-l-qI/AAAAAAAHSJo/-YY7WKyCtKI/s1600/RC%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Uamuzi wa Mulongo, polisi wapingwa
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo
PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...