Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADANSA WA DIAMOND WAKAMATWA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' (wa pili kutoka kushoto), akiwa na madansa wake pamoja na Nay wa Mitego wakitoa burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014, Leaders Club jijini Dar. Madansa wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum wamekamatwa leo wapo kituo cha polisi cha Oyster Bay, Dar kwa kuvaa sare za JWTZ. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USIKU WA WAFALME DAR LIVE: DIAMOND KUTAMBULISHA MADANSA WAPYA

Stori: Andrew Carlos
ZIKIWA zimebaki siku tano kamili kuwaka kwa moto wa burudani ndani ya Dar Live, Desemba 25, mwaka huu, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameweka wazi kuwa siku hiyo atawatambulisha rasmi madansa wake wapya. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. Akizungumza katika mahojiano na Global TV Online...

 

11 years ago

Mwananchi

Dayna Sifugi madansa

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Mwanaisha Nyange maarufu kama Dayna amesema anamiliki madansa wawili tu kwa kuwa ana uwezo wa kuwahudumia katika kila hitaji lao la lazima.

 

11 years ago

GPL

RAIS WA MADANSA ATINGA GLOBAL

Rais wa madansa nchini ambaye pia ni kiongozi wa madansa wa bendi ya Extra Bongo, Hassan Mussa 'Super Nyamwela' akiwa na mtangazaji wa Global TV Online, Pamela Daffa 'The Mic Queen' (kulia) wakati wa mahojiano na Global TV Online. ...Pamela na Nyamwela Wakiwa…

 

10 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani