Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva wa bodaboda waletewa Hero Dawn

MADEREVA wa bodaboda nchini wameshauriwa kutumia pikipiki za Hero Dawn zilizotengenezwa kwa kukidhi mahitaji ya mteja, kwa sababu zinatumia mafuta kidogo kwa umbali mrefu. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Astarc...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC

  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiriauzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.   Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana....

 

11 years ago

GPL

KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC‏

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati) na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc...

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva 15 wa bodaboda mbaroni

Morogoro. Polisi Mkoa wa Morogoro inawashikilia madereva 15 wa bodaboda kwa tuhuma za kufanya vurugu katika eneo la Fire zilizosababishwa na mmoja wao kumdhalilisha askari mmoja wa kike.

 

10 years ago

Mwananchi

RC awavaa madereva bodaboda

Madereva wa pikipiki katika Mkoa wa Ruvuma (yeboyebo) ambao watabainika kujihusisha na vitendo vya uhalifu watachukuliwa hatua za kufikishwa katika vyombo vya sheria.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva 18 wa bodaboda kortini

MADEREVA 18 wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kupakia abiria bila leseni ya usafirishaji.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samia awaonya madereva bodaboda.

Na Richard Makore 3rd September 2015 Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu, ameonya vijana waendesha bodaboda kuacha tabia ya kuwarubuni […]

The post Samia awaonya madereva bodaboda. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva mabasi kama wa bodaboda

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, akitoa takwimu za vifo vilivyotokana na ajali za barabarani kati ya Januari Mosi mwaka huu hadi Aprili 12, sawa na siku 102 vifo 969.WAKATI ajali za barabarani zikiendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa na kuumiza vichwa vya Watanzania kuhusu suluhisho la ajali hizo, imefahamika moja ya tatizo sugu ni kukosekana kwa madereva wenye taaluma stahiki, ingawa wana leseni.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Nimenusurika kuuawa na madereva bodaboda’

Ni unyama. Ni unyama. Ni unyama.  Hili ndilo neno pekee linaloweza kubeba dhima ya  tukio hili. Unyama huo  leo umemfikisha msichana mdogo wa miaka 21 katika kitanda cha Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili (MNH), akiwa na majeraha ya kutisha pamoja na udhalilishaji wa kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani