Madini adui yanayoathiri afya
Unaweza kufikiri ni hadithi, lakini ukweli ni kwamba watoto wengi wanaozaliwa kijijini Mtakuja Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wengi wao wamepinda miguu, kuharibika ubongo na wengine kupata meno yenye rangi ya kahawia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
JINSI YA KUTAMBUA MAGONJWA YANAYOATHIRI AFYA YA UZAZI
11 years ago
Habarileo22 Feb
Waajiri sekta ya madini kutupiwa jicho afya za wafanyakazi
SERIKALI imesema haitalifumbia macho suala la waajiri wa sekta ya madini na nishati ambao wamekuwa wakiwafukuza wafanyakazi baada ya kupata matatizo ya kiafya wakiwa kazini.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
UTI: Maambukizi ya njia ya mkojo yanayoathiri mamia ya wanawake nchini
10 years ago
Michuzi.jpg)
Tume iibue masuala yanayoathiri haki za binadamu - Dkt. Migiro
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Dkt. Migiro: Tume iibue masuala yanayoathiri haki za binadamu
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akiongea na viongozi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora jijini Dar es Salaam jana (Jumanne, Feb 24, 2015). Kulia kwake ni Naibu Waziri Ummy Mwalimu na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Wakili Bahame Tom Nyanduga na Katibu Mtendaji Bi. Mary Massay. Waziri alifanya ziara katika ofisi za Tume hiyo kubadilishana mawazo na uzoefu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu wake Ummy Mwalimu wakiwa katika picha ya...
11 years ago
Michuzi.jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Shirikisho la Madini Thailand kuisaidia Tanzania kuwa kitivo cha Madini Afrika
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...