Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu waachwa bila makao DRC

Maelfu ya watu nchini DRC wameachwa bila makao baada ya nyumba zao kuharibiwa na moto Mashariki mwa nchi hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 100,000 waachwa bila makao Sudan

Umoja wa mataifa unasema kuwa mapigano katika jimbo la Unity State nchini Sudan Kusini yamewaacha takriban raia 100,000 bila makao

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM baada ya kuwasili katika mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi wa serikali za Mitaa za Jimbo la Ilala, Dar es Salaam, leo jioniWana CCM wakimshangilia Nape alipowasili kwenye mkutano huoWananchi wakimshangilia Nape alipowasili kwenye mkutano huoNape akiwa Jukwaa Kuu pamoja na viongozi wa CCM baada ya kuwasili kwenye mkutano huoLwiza Mbutu akiongoza bendi ya Twanga Pepeta kutumbuiza baada ya kuwasili Nape...

 

10 years ago

Michuzi

CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA

Na Bashir Nkoromo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika uchaguzi wa serikali za mitaa kesho, kikiwa kimeshajizolea maelfu ya nafasi ambazo wagombea wake wamepita bila kupingwa.  Akihutubia kwenye mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi huo, katika Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani, jimbo la Ilala jijini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alisema, kulingana na takwimu CCM imepita bila kupingwa katika vijiji 2708, mitaa 644, na vitongoji zaidi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Isihaka, Kessy waachwa nje Stars Maboresho

Licha ya kuonyesha kiwango cha juu kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika Januari 13, mabeki wa Simba, Hassan Isihaka na Hassan Kessy, hawamo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Maboresho kinachoundwa na wachezaji wenye umri chini ya miaka 22, kilichotangazwa jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo, Kiongera waachwa safari ya Simba Sauzi

Kiungo mshambuliaji Raphael Kiongera na kipa Ivo Mapunda wameachwa kwenye kikosi cha Simba kinachoondoka leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya muda kujiandaa na mechi yao dhidi ya watani, Yanga, Oktoba 18.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Tadea waachwa kwenye ‘mataa’ Dar

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha Tadea kutoka mikoa mbalimbali wameushutumu uongozi wa chama hicho kwa kuwatelekeza baada ya kumalizika kwa kikao hicho cha juu na kuwafanya waishi maisha magumu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA

Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani