Isihaka, Kessy waachwa nje Stars Maboresho
Licha ya kuonyesha kiwango cha juu kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika Januari 13, mabeki wa Simba, Hassan Isihaka na Hassan Kessy, hawamo kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Maboresho kinachoundwa na wachezaji wenye umri chini ya miaka 22, kilichotangazwa jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mtiro, Mbonde, Isihaka waitwa Taifa Stars
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s72-c/TFF+Logo.jpg)
WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5JhG3TO15e4/U1DSx_8yDTI/AAAAAAAFbmM/BxuUIfsOW_c/s1600/TFF+Logo.jpg)
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Stars maboresho kuivaa Rwanda
11 years ago
GPLVIPAJI 36 VYATAJWA MABORESHO TAIFA STARS
10 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/ma.png?width=645)
TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI
11 years ago
Mwananchi17 May
Nooij apiga chini ‘Stars Maboresho’
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bNsAjWc0rHA/VINQ5ztcQ0I/AAAAAAAG1pc/1rqFtL9MRTU/s72-c/Staz.jpg)
TAIFA STARS MABORESHO YAREJEA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-bNsAjWc0rHA/VINQ5ztcQ0I/AAAAAAAG1pc/1rqFtL9MRTU/s1600/Staz.jpg)
Timu hiyo ambayo leo asubuhi imefanya mazoezi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa ndege ya Fastjet saa 12.30 jioni na kwenda moja kwa moja kambini hoteli ya Tansoma.
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kesho...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Nyota maboresho Stars wanahitaji muda zaidi
KARIBUNI tena wadau wa Uwanja wa Kuchonga. Kama kawaida tunakutana kupeana changamoto za kispoti ili kuchochea ufanisi kwenye sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu wazima wa afya njema...