MAELFU YA WANANCHI WA HALMASHAURI TATU ZA MKOA WA MORO WANUFAIKA NAMPANGO WA MKURABITA
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk.Rajabu Rutengwe kushoto akifurahia jambo na Mratibu wa Mkurabita Saraphia Mgembe.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk.Rajabu Rutengwe mwenye suti nyeusi akiongoza kucheza ngoma ya Sangula ya wapogolo baada ya kuzindua utoaji wa hati miliki za kimila chini ya Mkurabita wilayani Kilombero.
Baadhi ya wananchi mbalimbali wa wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro wakimsiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWXECvswSm8eM9-Dc75cJy5R9jYQk5CdF0*8Bdn2BT8q7oXdYX5-QKxxKOu8GlfSRtGAeHkbRWwdqr9*0Xp5Iu8/jk1.jpg?width=650)
MAELFU YA WANANCHI WAMLAKI RAIS KIKWETE GAIRO, KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA MOROGORO
Rais Kikwete akihutubia umati wa watu waliojitokeza kumsikiliza kwenye uwanja wa mkutano wa mji wa Gairo mkoani Morogoro alipowahutubia kwenye mkutano wa hadhara Agosti 26, 2014. Rais Kikwete akipata picha…
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro
 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gm7HgF2pnUE/VXfzpr9ICcI/AAAAAAABhYQ/B-3SMJf0dwo/s640/3.jpg?width=650)
MEMBE AVUNA MAELFU YA WADHAMINI MKOA WA RUVUMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma iliyopo mjini Songea jana, baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
GPLMWILI WA MAREHEMU TYSON WATOLEWA HOSPITALI YA MKOA MORO
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro. ...Wakiupakia mwili wa marehemu katika gari. Mwili wa marehemu George Tyson…
11 years ago
MichuziMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6z3QdxQdkY0/VdCyEDOgTkI/AAAAAAABT_o/s3RMgVJKbG4/s72-c/11834941_877006722383728_5940948332150969321_o.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x4mFp7c62ww/VXqYkX4r3wI/AAAAAAAHe3k/rokZHkcdQ5o/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)
Kampuni ya Acacia Mining Ltd imetiliana saini ya Makubaliano (MoU) na Halmashauri za Wilaya ya Tarime, Kahama na Msalala ili kuweza kutekeleza ulipaji wa ushuru wa huduma (service levy) kwa kiwango cha asilimia 0.3 ya mapato ghafi ya kampuni hiyo kwa mwaka mzima kwa mujibu wa sheria ya Serikali za Mitaa. Tukio hilo limefanyika tarehe 10 Juni, 2015 jijini Dar es Salaam makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kushuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, Makamu wa Rais wa...
11 years ago
GPLMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tupa ukitolewa ndani ya nyumba yake.
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania