Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maendeleo ya kuridhisha ya Tehama Tanzania

Huenda usijue nini kinaendelea wakati unatumia mtandao ofisini kwako au nyumbani kupitia kompyuta, tabiti au simu ya mkononi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Tumieni tehama kwa maendeleo’

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaVIJANA nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujiletea maendeleo yao binafsi na ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Uwekezaji mdogo wazorotesha maendeleo ya Tehama

Uwekezaji mdogo na ukosefu wa vifaa na wataalamu ni miongoni mwa sababu inayochangia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini kushindwa kufanya vizuri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya raia wa Syria si ya kuridhisha

watu milioni kumi na mbili nchini Syria watahitaji misaada wakati wa majira ya baridi.

 

11 years ago

Mwananchi

Naondoa shilingi mpaka waziri atakaponipa majibu ya kuridhisha

Hii ni sentensi tunayoisikia zaidi masikioni mwetu Watanzania wakati huu wa Bunge la Bajeti.

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

10 years ago

Dewji Blog

Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA

 

DSC_5719

Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu  (kushoto) pamoja na  Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan  wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na  Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar.  Bw. Mahamoud Thabit Kombo.

Na  Mwandishi Wetu

Kampuni ya Huawei Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU

1
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao. 2
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya China, Tanzania tujifunze nini? - 2

Maendeleo ya viwanda yaliongezeka kwa kasi kwa Serikali kuruhusu uongozi wa vijiji kuanzisha viwanda vidogo na vya kati ambavyo viliwanufaisha wafanyakazi na mameneja wa viwanda. Havikuwa mali ya Serikali Kuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani