Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tumieni tehama kwa maendeleo’

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaVIJANA nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujiletea maendeleo yao binafsi na ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vijana tumieni mitandao kwa maendeleo

Kukua kwa teknolojia duniani kumefanya dunia sasa kuwa kama kijiji. Siku hizi unaweza kupata taarifa kutoka sehemu mbalimbali za dunia bila kulazimika kuwa sehemu husika.

 

11 years ago

Habarileo

'Tumieni maonesho ya utamaduni kuchochea maendeleo'

JAMII imetakiwa kutumia maonesho ya utamaduni kupata elimu jinsi ya kuingia katika soko la biashara la ndani na nje ya nchi na kuchochea maendeleo. Hayo yalisemwa leo, Dar es Salaam na Mratibu wa Biashara wa Tan-Tanzania, Deusdedit Kizito, kwenye maonesho ya Utamaduni yaliyozinduliwa juzi na yanayoendelea hadi Mei 25, Siku ya Uhuru wa Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya kuridhisha ya Tehama Tanzania

Huenda usijue nini kinaendelea wakati unatumia mtandao ofisini kwako au nyumbani kupitia kompyuta, tabiti au simu ya mkononi.

 

10 years ago

Mwananchi

Uwekezaji mdogo wazorotesha maendeleo ya Tehama

Uwekezaji mdogo na ukosefu wa vifaa na wataalamu ni miongoni mwa sababu inayochangia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini kushindwa kufanya vizuri.

 

10 years ago

Michuzi

WAJASIRIMALI TUMIENI FURSA YA KUJIUNGA NA NHIF KWA KUCHANGIA SH.78,600 KWA MWAKA

 Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Mkoa wa Kinondoni ,Grace Temba akizungumza leo na wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) juu ya faida ya kujiunga na mfuko huo kupitia Mtandao wa ASEE iliyofanyika katika ukumbi Pricess ,Sinza Jijini Dar es Salaam.

 Afisa Matekelezo na Uratibu wa NHIF,Catherine Masingisa akitoa maada kwa wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) namna ya kujiunga  na mfuko wa Bima ya Afya  kupitia vikundi vya ujasiriamali iliyofanyika Katika Ukumbi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tumieni mikopo kwa malengo’

Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa kutumia mikopo kwa malengo sahihi na kuirudisha kwa wakati ili kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kukuza mitaji yao kupitia benki.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii, tumieni fursa kwa sauti moja, mueleweke...

>Tofauti na zamani, katika zama hizi za sanaa ya kizazi kipya, kila ukikutana na msanii, ukasema mpoteze muda kuongea mambo mawili matatu, lazima katikati ya maongezi yenu atakuingizia suala la jinsi sanaa inavyochukuliwa rahisi rahisi nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Tehama kwa walimu nchini haikwepeki

Mapinduzi ya teknolojia yamebadilisha mambo mengi. Yamebadili mwenendo wa maisha, utendaji wa kazi, shughuli za kijamii, siasa, uchumi na hata elimu.

 

5 years ago

CCM Blog

MAJAJI 125 WA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA




Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani