Vijana tumieni mitandao kwa maendeleo
Kukua kwa teknolojia duniani kumefanya dunia sasa kuwa kama kijiji. Siku hizi unaweza kupata taarifa kutoka sehemu mbalimbali za dunia bila kulazimika kuwa sehemu husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Nov
‘Vijana tumieni vizuri mitandao’
VIJANA wametakiwa kutumia mitandao kwa njia sahihi za kuongeza maarifa na kuboresha fani za elimu wanazosomea.
10 years ago
Habarileo29 Dec
Vijana tumieni vizuri mitandao - Askofu
VIJANA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza habari njema pamoja na kutumia vipaji vyao kujipatia kipato.
10 years ago
Habarileo02 Jul
‘Tumieni tehama kwa maendeleo’
VIJANA nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujiletea maendeleo yao binafsi na ya nchi.
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
‘Mitandao ya kijamii itumike kwa maendeleo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kupata taarifa mbalimbali na kuzitumia katika maendeleo.
Mjumbe wa Bodi ya Utendaji ya Kituo cha Ushirikiano wa Kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karibiani na Pasifiki (CTA), Profesa Faustin Kamuzora, amesema taarifa hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta za kilimo, usindikaji, biashara na ukuzaji wa masoko katika ukanda wa Afrika Mashariki na duniani kwa jumla.
Akifungua mafunzo ya...
11 years ago
Habarileo22 May
'Tumieni maonesho ya utamaduni kuchochea maendeleo'
JAMII imetakiwa kutumia maonesho ya utamaduni kupata elimu jinsi ya kuingia katika soko la biashara la ndani na nje ya nchi na kuchochea maendeleo. Hayo yalisemwa leo, Dar es Salaam na Mratibu wa Biashara wa Tan-Tanzania, Deusdedit Kizito, kwenye maonesho ya Utamaduni yaliyozinduliwa juzi na yanayoendelea hadi Mei 25, Siku ya Uhuru wa Afrika.
10 years ago
Habarileo17 Aug
Pinda: Vijana wanasayansi tumieni uwezo wenu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka vijana wanasayansi Tanzania na barani Afrika, kuhakikisha uwezo wao kitaaluma utumike kusaidia kuongeza thamani rasilimali zilizopo ardhini ili bidhaa zizalishwazo ziwe na thamani, badala ya kuuza malighafi.
10 years ago
MichuziVIJANA WATAKIWA KUJITUMA NA KUFANYA KAZI KWA KWA MAENDELEO YAO
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
DC KANGOYE: Vijana tumieni fursa za kiuchumi zilizopo kujiajiri
MATAIFA mengi duniani hutegemea vijana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Sehemu zote yalipofanyika mageuzi ya kiuchumi, vijana walijitolea nguvu zao katika taifa husika. Vijana wengi wanaomaliza elimu ya...
5 years ago
MichuziMITANDAO YA KIJAMII YAZIDI KUONGEZA WIGO WA AJIRA KWA VIJANA,'APP' YA BIDHAA YA KEKI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Melisa Lilian Ringo wakati akizindua App kwa ajili ya Keki iliyofanyika leo, jijini Dar es Salaam.
Ringo amesema kuwa watu wanaohitaji Keki watakwenda kwenye mtandao na kufungua 'Melisa Cake' na kuchagua aina mbalimbali za Keki.Amesema mteja akiingia katika App hiyo atachagua Keki aitakayo baada ya hapo ...