Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Vijana tumieni vizuri mitandao’

VIJANA wametakiwa kutumia mitandao kwa njia sahihi za kuongeza maarifa na kuboresha fani za elimu wanazosomea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vijana tumieni vizuri mitandao - Askofu

Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius NzigilwaVIJANA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza habari njema pamoja na kutumia vipaji vyao kujipatia kipato.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana tumieni mitandao kwa maendeleo

Kukua kwa teknolojia duniani kumefanya dunia sasa kuwa kama kijiji. Siku hizi unaweza kupata taarifa kutoka sehemu mbalimbali za dunia bila kulazimika kuwa sehemu husika.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Tumieni kura zenu vizuri

3(4)>> Aonya polisi, asema atawapeleka ICC

>> Ashangaa fedha kupelekwa bandari ya Bagamoyo

 

NA FREDY AZZAH, TANGA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka Watanzania kutumia vizuri kadi zao za kupigia kura kwa kumchagua yeye kwani watakuwa wamefanya uamuzi wa busara ambao hawataujutia.

Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Indian Ocean, eneo la Donge jijini Tanga, huku akisema fedha zilizopelekwa...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi: Watanzania tumieni vizuri maonesho ya ubunifu ya Oman

WATANZANIA wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea nchini Oman, wametakiwa kuitumia vyema fursa ya kimataifa waliyoipata kwa kufuata vyema miongozo waliyopewa ili ziara yao iweze kuleta tija.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda: Vijana wanasayansi tumieni uwezo wenu

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka vijana wanasayansi Tanzania na barani Afrika, kuhakikisha uwezo wao kitaaluma utumike kusaidia kuongeza thamani rasilimali zilizopo ardhini ili bidhaa zizalishwazo ziwe na thamani, badala ya kuuza malighafi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC KANGOYE: Vijana tumieni fursa za kiuchumi zilizopo kujiajiri

MATAIFA mengi duniani hutegemea vijana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa taifa. Sehemu zote yalipofanyika mageuzi ya kiuchumi, vijana walijitolea nguvu zao katika taifa husika. Vijana wengi wanaomaliza elimu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.

Meneja mawasiliano wa mamamlaka ya mawasiliano Tanzania ( TCRA) Bwn. Innocent Mungy akisisitiza jambo
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA.CCC:VIJANA NDIYO WAHANGA WAKUBWA WA MITANDAO YA KIJAMII

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Arusha Day wakiwa wamekusanyika tayari kwa kuwasikiliza Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma za Mawasiliano Tanzania TCRA.CCC walipotembelea shuleni hapo kuwapa Elimu.Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Arusha Day wakifuatilia kwa makini kile kinachoelezwa na Baraza la Ushauri wa Huduma za Mawasiliano Tanzania TCRA .CCCAfisa Uhamasishaji kutoka Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania(TCRA.CCC)Hillary Tesha. 









Mary Shao Katibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani