Balozi: Watanzania tumieni vizuri maonesho ya ubunifu ya Oman
WATANZANIA wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea nchini Oman, wametakiwa kuitumia vyema fursa ya kimataifa waliyoipata kwa kufuata vyema miongozo waliyopewa ili ziara yao iweze kuleta tija.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSHIRIKI MAONESHO YA SANAA NA UTAMADUNI MJINI MASCUT
10 years ago
Michuzi22 Jan
10 years ago
MichuziUBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA katika MAONESHO YA Kimataifa MASCUT OMAN
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SANAA,UBUNIFU NA UTAMADUNI NCHINI OMAN
10 years ago
Michuzi.jpg)
Tanzania yanogesha Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni nchini oman
10 years ago
MichuziCHANGAMOTO ZA WATANZANIA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YANAYOFANYIKA MASCUT - OMAN
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Changamoto za Watanzania katika maonesho ya kimatifa yanayofanyika Mascut-Oman
Wageni mbalimbali wakiingia na kutoka Katika Banda la Watanzania kujione bidhaa za Watanzania Wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman. (Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman).
Na Faki Mjaka-Mascut Oman
Kukosekana kwa Semina ya pamoja na uelewa mdogo wa lugha ya Kiarabu ni miongoni mwa Changamoto zinazowakabili Wajasiriamali wa Kitanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa na Utamaduni nchini Omani.
Hayo yameelezwa na Watanzania...
10 years ago
Habarileo09 Nov
‘Vijana tumieni vizuri mitandao’
VIJANA wametakiwa kutumia mitandao kwa njia sahihi za kuongeza maarifa na kuboresha fani za elimu wanazosomea.
10 years ago
Mtanzania22 Oct
Lowassa: Tumieni kura zenu vizuri
>> Aonya polisi, asema atawapeleka ICC
>> Ashangaa fedha kupelekwa bandari ya Bagamoyo
NA FREDY AZZAH, TANGA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka Watanzania kutumia vizuri kadi zao za kupigia kura kwa kumchagua yeye kwani watakuwa wamefanya uamuzi wa busara ambao hawataujutia.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Indian Ocean, eneo la Donge jijini Tanga, huku akisema fedha zilizopelekwa...