Changamoto za Watanzania katika maonesho ya kimatifa yanayofanyika Mascut-Oman
Wageni mbalimbali wakiingia na kutoka Katika Banda la Watanzania kujione bidhaa za Watanzania Wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman. (Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman).
Na Faki Mjaka-Mascut Oman
Kukosekana kwa Semina ya pamoja na uelewa mdogo wa lugha ya Kiarabu ni miongoni mwa Changamoto zinazowakabili Wajasiriamali wa Kitanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa na Utamaduni nchini Omani.
Hayo yameelezwa na Watanzania...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziCHANGAMOTO ZA WATANZANIA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YANAYOFANYIKA MASCUT - OMAN
10 years ago
MichuziBALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSHIRIKI MAONESHO YA SANAA NA UTAMADUNI MJINI MASCUT
10 years ago
MichuziUBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA katika MAONESHO YA Kimataifa MASCUT OMAN
10 years ago
Habarileo23 Jan
Balozi: Watanzania tumieni vizuri maonesho ya ubunifu ya Oman
WATANZANIA wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea nchini Oman, wametakiwa kuitumia vyema fursa ya kimataifa waliyoipata kwa kufuata vyema miongozo waliyopewa ili ziara yao iweze kuleta tija.
10 years ago
Michuzi22 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s72-c/04.jpg)
TCAA watoa Elimu ya Usafiri wa Anga kwa wananchi waliofika kwenye maonesho ya Nanena yanayofanyika Ngongo, Lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s640/04.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fUTdt9PRtKc/VcOscd9n7rI/AAAAAAAHuuw/CRsRaD0E1h8/s640/05.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TUUoi_f0Pn8/VcOsc3thu4I/AAAAAAAHuu0/EpGPqxnEKJQ/s640/06.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita
Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l91yAge_aFE/VMY7E9NCY1I/AAAAAAABjGk/lfzXBl57FAA/s72-c/7%2BJPG.jpg)
MAONESHO YA SANAA NCHINI OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-l91yAge_aFE/VMY7E9NCY1I/AAAAAAABjGk/lfzXBl57FAA/s640/7%2BJPG.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tb91LliEhpI/VMY7qwCO1nI/AAAAAAABjG8/svGGo7FJEe8/s640/2JPG.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LOveWb2dIvs/VN45KqyGMmI/AAAAAAAHDnI/_20_oyDTT0I/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Tanzania yanogesha Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni nchini oman