BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOSHIRIKI MAONESHO YA SANAA NA UTAMADUNI MJINI MASCUT
Balozi wa Tanzania nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh akisalimiana na Mwandishi wa Chanel Ten Said Makala Ofisini kwake alipowaita kwa lengo la kuwapa nasaha Washiriki wa Maonesho ya mwezi mmoja ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayofanyika Jimbo la Al-Amerat mjini Mascut, nchini Oman.
Mkuu wa Utawala Ubalozi wa Tanzania nchini Oman Abdallah Kilima kushoto akimkaribisha Balozi wa Balozi wa Tanzania nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia kutoa nasaha zake kwa Washiriki wa Maonesho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LOveWb2dIvs/VN45KqyGMmI/AAAAAAAHDnI/_20_oyDTT0I/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Tanzania yanogesha Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni nchini oman
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SANAA,UBUNIFU NA UTAMADUNI NCHINI OMAN
10 years ago
MichuziCHANGAMOTO ZA WATANZANIA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YANAYOFANYIKA MASCUT - OMAN
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Changamoto za Watanzania katika maonesho ya kimatifa yanayofanyika Mascut-Oman
Wageni mbalimbali wakiingia na kutoka Katika Banda la Watanzania kujione bidhaa za Watanzania Wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman. (Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman).
Na Faki Mjaka-Mascut Oman
Kukosekana kwa Semina ya pamoja na uelewa mdogo wa lugha ya Kiarabu ni miongoni mwa Changamoto zinazowakabili Wajasiriamali wa Kitanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa na Utamaduni nchini Omani.
Hayo yameelezwa na Watanzania...
10 years ago
VijimamboWashiriki wa maonyesho ya kimataifa ya sanaa wakutana na Balozi wa Tanzania nchini Oman
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l91yAge_aFE/VMY7E9NCY1I/AAAAAAABjGk/lfzXBl57FAA/s72-c/7%2BJPG.jpg)
MAONESHO YA SANAA NCHINI OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-l91yAge_aFE/VMY7E9NCY1I/AAAAAAABjGk/lfzXBl57FAA/s640/7%2BJPG.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tb91LliEhpI/VMY7qwCO1nI/AAAAAAABjG8/svGGo7FJEe8/s640/2JPG.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-57KD3w7pNPc/UwtIlBz19qI/AAAAAAAFPQA/CruZrR_7hNM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MAALIM SEIF AKUTANA NA BALOZI WA OMAN NCHINI TANZANIA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-57KD3w7pNPc/UwtIlBz19qI/AAAAAAAFPQA/CruZrR_7hNM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_XWWRN5LPYo/UwtIlnwPaoI/AAAAAAAFPQE/9YIBhFxLKFU/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wJ-XLkMuy5o/UwtIlqn0m5I/AAAAAAAFPQM/TmrUE63SJ9A/s1600/unnamed+(21).jpg)
10 years ago
MichuziUBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA katika MAONESHO YA Kimataifa MASCUT OMAN