Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAENDELEO YA MSIBA WA BABA REV. DR. EDWARD MMANYWA

Kutakuwa na ibada ya marehemu Baba Rev. Dr. Edward Mmanywa siku ya Jumapili 10/26/2014 saa 8 mchana (2pm)Adress:RCCG- Church2721 West Mountain StreetKernersville, NC 27284.Service itaanza exactly at 2pm. We will eat together after the Service.Kwa wale ambao wataweza kufika kwenye ibada muda huo, wafiwa watakua nyumbani kuanzia saa 11 jioni (5pm.)Adress ya nyumbani ni:1809 Hunters Forest DriveWinston-Salem NC 27103. 
Kwa mawasialiano na maelezo zaidi Namba za Simu 336-575-3306, 336-287-6169,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAISHA YA REV. EDWARD MMANYWA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA NCHINI MAREKANI

Ibada ya kumbukumbu ya maisha ya marehemu Re. Dr. Edward Mmanywa iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 26, 2014 Winston Salem, North Carolina nchini Marekani na kuhudhuria na ndugu jamaa na marafiki.Mchungaji Dupe Akinola akiongoza ibada iliyofanyika katika kanisa la Christ Center Assembly siku ya Jumapili Octoba 26, 2014.Mchungaji Yinka Akinola akitoa neno la kuwafariji wafiwa katika kanisa la Christ Center Assembly ilikofanyika ibada ya kumbukumbu ya maisha ya marehemu Rev. Dr. Edward...

 

10 years ago

Dewji Blog

Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao

 

Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.

Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu  wa Tanzania  hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka  mashada ya maua kwenye kaburi la  mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba New York na Philadelphia


  Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014.   Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Maendeleo ya Msiba, New York

Kama mlivyofahamishwa awali Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko (pichani) amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. 
Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York,  na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York.  
Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York. Michango yenu kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba huu itumwe kwenye akaunti...

 

10 years ago

Vijimambo

MAENDELEO YA MSIBA COLUMBUS, OHIO

Ndugu wanamfuko na watanzania,
Kwa niaba ya Deo tunapenda kuwafahamisha kutakuwa  na misa ya kumuombea dada yetu mpendwa Angela Mchoropa siku ya jumatatu Sept 29, 2014 saa kumi na moja jioni ,nyumbani kwa Deo.Dada Angela anatarajiwa kuzikwa Siku hiyo ya jumatatu nyumbani Tanzania.Anuani ya Deo Ni kama ifuatavyo:
1440 Sharon GreenColumbus Ohio 43229(614)378-8655

ShukranUongozi

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba Philadelphia na New York

Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014.
Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO

MAREHEMU MZEE WETU MOURICE NOEL SINGANO
MDAU WETU BEATRICE SINGANO  WA VAIRTEL AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA  MZEE MOURICE NOEL SINGANO, 
MZEE WETU  M.N. SINGANO ALIFARIKI JANA TAREHE 31/05/2014. NCHINI  INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MTOTO WAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM.
KUFUATIA MSIBA HUO KUTAKUWA NA MISA MAALUM YA SIKU YA ALHAMISI KANISA LA MT. MARTHA MIKOCHENI DAR ES SALAAM.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA TAREHE 6/6/2014...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake

Sonia Tyson  George mtoto wa aliekuwa  muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu  George Tyson   amesema kuwa  siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona  watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa  baba yake  ni mtu maarufu katika jamii.

Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia,  Sonia akiongea kwenye kipindi  cha filamunata  alisema kuwa mbali  na  baba yake ni kitendo  ambacho hatokisahu  katika maisha yake  lakini anajikaza  na kujipa moyo kwa sababu ni...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu

Familia ya Nestory Mwombeki Rweyamamu ya Mt. Vernon New York imetoa ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama yao mpendwa Theonestina Rweyemamu kama ifuatavyo: Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550; Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani