MAENDELEO YA MSIBA WA BABA REV. DR. EDWARD MMANYWA
Kutakuwa na ibada ya marehemu Baba Rev. Dr. Edward Mmanywa siku ya Jumapili 10/26/2014 saa 8 mchana (2pm)Adress:RCCG- Church2721 West Mountain StreetKernersville, NC 27284.Service itaanza exactly at 2pm. We will eat together after the Service.Kwa wale ambao wataweza kufika kwenye ibada muda huo, wafiwa watakua nyumbani kuanzia saa 11 jioni (5pm.)Adress ya nyumbani ni:1809 Hunters Forest DriveWinston-Salem NC 27103.
Kwa mawasialiano na maelezo zaidi Namba za Simu 336-575-3306, 336-287-6169,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboIBADA YA KUMBUKUMBU YA MAISHA YA REV. EDWARD MMANYWA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA NCHINI MAREKANI
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao
Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw9NPBhtLjk/VSvKENlImrI/AAAAAAAAcwc/BzJhVVXSk_w/s1600/IMG-20150413-WA0047.jpg)
Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba New York na Philadelphia
Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 bado inaendelea. Mpaka sasa kiasi cha dolla 8,800 zimeshapatikana. Lengo ni kuchangisha dolla 20,000 ili kufanikisha shughuli za msiba huu uliotokea tarehe 28 April 2014. Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZERVkoJGFHo/Ux9RV6UoShI/AAAAAAAFS9c/mHEaRQVP53I/s72-c/20140308_184516.jpg)
Taarifa ya Maendeleo ya Msiba, New York
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZERVkoJGFHo/Ux9RV6UoShI/AAAAAAAFS9c/mHEaRQVP53I/s1600/20140308_184516.jpg)
Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York, na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York.
Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York. Michango yenu kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba huu itumwe kwenye akaunti...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
MAENDELEO YA MSIBA COLUMBUS, OHIO
Kwa niaba ya Deo tunapenda kuwafahamisha kutakuwa na misa ya kumuombea dada yetu mpendwa Angela Mchoropa siku ya jumatatu Sept 29, 2014 saa kumi na moja jioni ,nyumbani kwa Deo.Dada Angela anatarajiwa kuzikwa Siku hiyo ya jumatatu nyumbani Tanzania.Anuani ya Deo Ni kama ifuatavyo:
1440 Sharon GreenColumbus Ohio 43229(614)378-8655
ShukranUongozi
11 years ago
MichuziMaendeleo ya Msiba Philadelphia na New York
Tunawaomba tuzidi kuchanga ili tuweze kufikia kiasi kinachohitajika na ili tuweze kufanikisha shughuli za kuurudisha mwili wa Marehemu Tanzania. Ukipata taarifa hizi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s72-c/IMG-20140601-WA0000.jpg)
TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s1600/IMG-20140601-WA0000.jpg)
MDAU WETU BEATRICE SINGANO WA VAIRTEL AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA MZEE MOURICE NOEL SINGANO,
MZEE WETU M.N. SINGANO ALIFARIKI JANA TAREHE 31/05/2014. NCHINI INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MTOTO WAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM.
KUFUATIA MSIBA HUO KUTAKUWA NA MISA MAALUM YA SIKU YA ALHAMISI KANISA LA MT. MARTHA MIKOCHENI DAR ES SALAAM.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA TAREHE 6/6/2014...
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Mtoto wa Monalisa Alishangaa Siku ya Msiba wa Baba Yake
Sonia Tyson George mtoto wa aliekuwa muongozaji mkubwa wa fialamu hapa , Marehemu George Tyson amesema kuwa siku ya msiba wa baba yake alishangaa sana kuona watu wengi nyumbani kwao na kuamini kuwa baba yake ni mtu maarufu katika jamii.
Ikiwa ni mwaka mmoja sasa umepita tangu baba yake afariki dunia, Sonia akiongea kwenye kipindi cha filamunata alisema kuwa mbali na baba yake ni kitendo ambacho hatokisahu katika maisha yake lakini anajikaza na kujipa moyo kwa sababu ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s72-c/bbb.jpg)
Maendeleo ya Msiba wa Mama Theonestina Rweyemamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ijrZoPwLXo/UvClb3xIr_I/AAAAAAAFKxU/WHMfL0lxUYI/s1600/bbb.jpg)