Mafanikio ya Profesa Muhongo kuliza wengi
UTEKELEZAJI wa shinikizo la kuvuliwa madaraka kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, linaloendelea kutolewa na wabunge na baadhi ya wanasiasa kwa Rais Jakaya Kikwete, huenda ukaacha masononeko kwa wananchi walionufaika na kipindi kifupi cha uongozi wa waziri huyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Jan
Profesa Muhongo ajiuzulu
HATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.
11 years ago
Habarileo02 Feb
Profesa Muhongo acharuka
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.
9 years ago
MichuziProfesa Muhongo aibana TANESCO
Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeagizwa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 3 Januari 2016 liwe limekamilisha kufunga umeme kwenye Jengo la Ofisi za Serikali la Mpakani mwa Tanzania na Rwanda (One Stop Border post) lililopo eneo la Rusumo wilayani Ngara.
Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipofanya ziara kwenye Mpaka wa Tanzania na Rwanda kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa...
9 years ago
MichuziZIARA YA PROFESA MUHONGO BUKOBA
10 years ago
Habarileo25 Jan
Hatimaye Profesa Muhongo ajiuzulu
HATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Vita vya Profesa Muhongo
10 years ago
Mwananchi18 Oct
AREMA wampinga Profesa Muhongo
10 years ago
MichuziPROFESA MUHONGO ni MUATHIRIKA wa propaganda ya UDINI.
9 years ago
Bongo518 Aug
Aliyemuoa Meninah ni mtoto wa Profesa Muhongo