Mafuriko yafumua mawasiliano Bara
MAFURIKO yaliyotokana na mvua zilizonyesha katika milima ya Kiteto mkoani Manyara, na Kilosa yamesababisha maafa katika Wilaya ya Kilosa na kukata mawasiliano ya barabara kuu ya Morogoro na Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s72-c/r.jpg)
TRL YASITISHA KWA MUDA SAFARI ZA TRENI YA BARA KUTOKANA NA MAFURIKO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s320/r.jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL umetangaza kusitisha kwa muda kuanzia jana Januari 01, 2016, huduma zake baada ya eneo la reli ya kati ya Kilosa mkoani Morogoro na Gulwe mkoani Dodoma tuta la reli kukumbwa na Mafuriko. Kwa mujibu wa taarifa za kifundi eneo lililoathiriwa na mafuriko ni kubwa hivyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako eneo la mafuriko kutathmini ukubwa wa kazi yenyewe. Kutokana na uamuzi huo treni ya abiria kutoka bara ilibidi safari yake ikatizwe ilipofika Dodoma na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ij5jBZ0fblIPAKuqkdt9*3bIu2mV*tgfPcfenGXoC3tdrcmpMYExfT9rKUs6Q29ccOX6iXWmUeBEk8-2kwpQSPW/MBELE.jpg)
OFM YAFUMUA DANGURO MWANZA
Mwandishi Wetu/Mchanganyiko
Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa kuna maeneo jijini Mwanza yanatisha kwa biashara ya ngono, Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers hivi karibuni imetua na kufanikiwa kufumua dangaro maarufu. Makahaba hao wakiwa katika mawindo yao ya kila siku. Awali, dawati la OFM lilipokea sms kutoka kwa msomaji wake aliyeomba hifadhi ya jina lake iliyosomeka hivi: “Jamani nyie tunawaaminia kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1dpynjVO847iosLvjyeN2v48j5KxBBwPg8*uyMBUK4u8t2rfEedBlgdwWatAn4jWec-i7DqZzq*gRKmEQG2HCA/ofm.jpg?width=650)
OFM YAFUMUA DANGURO SHULENI!
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
Ile Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ikishirikiana na askari wa ulinzi shirikishi, wamefanikiwa kufumua danguro hatari linaloendesha shughuli zake katika eneo la shule baada ya kumnasa mwanamke aliyedai ni mke wa mtu akifanya uzinzi na njemba ambaye hakujulikana jina lake. Kikosi cha OFM kimkurupusha mke wa mtu aliyekuwa akifanya uzinzi na njemba moja(jina...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara
Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jsUEWWQm9Qk/VFdRKn3UHYI/AAAAAAAGvPo/-5cRqMiiTFs/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uamuzi uliochukuliwa na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar wa kujadiliana na mjenzi wa Bara bara ya Koani hadi Jumbi ndio njia pekee itakayoweza kufanikisha ujenzi wa Bara bara hiyo. Alisema uamuzi wa pande hizo mbili wa kupelekana Mahakamani hautowasaidia Wananchi ambao lengo lao ni kupata huduma za mawasiliano ya bara bara kwa kuendesha harakati zao za kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-44VCDZFyu1E/VJ1P_AcHpxI/AAAAAAAG54I/trzBdM0qxQA/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Bara bara ya Wete hado Konde,Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-44VCDZFyu1E/VJ1P_AcHpxI/AAAAAAAG54I/trzBdM0qxQA/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ee7Fc-aY1WI/VJ1P-zjgedI/AAAAAAAG54M/fEujeoRFOwg/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Harakati za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania